simple one
Senior Member
- Feb 24, 2014
- 168
- 69
Mkuu kuamini mungu yupo hakungarimu chochote usipomkuta?? Je huo muda unaopoteza kumuabudu je hizo pesa unaowapa Hao servant wake Je hio akili yako unavyoilaza kwa kila jambo ukitegemea support from him? Mangapi umeshindwa kupambanua na ukamuachia mungu ambae haja leta positive effect kwa hilo jambo ulilomuachia Yani unataka tu useme kuabudu hakugharimu kitu khaa really u kidding me kwa taarifa yako unaona somalia ilivyo poor sasa wale wanamjua mungu hewa haswaa ndo mana bongo zao zimelala kila jambo ni kumuachia tu mtu ambae hae exist physically
unajua kwenye maswala ya imani huwezi kumbadilisha mtu mwaweza hata pigana, mimi nina imani na imani yangu naona inanisaidia wewe kama huamini baki hivyo hivyo nchi huru hii ndio maana wengine huabudu miti, mizimu na wanaona kwao inatenda kazi. mimi huwa sipendi ubishi hasa kwenye maswala yanayohusisha uwezo na nguvu za Mungu naamini ninachokiamini basi, na wewe baki na imani yako ila usiingilie imani ya wengine wala kuwakwaza wale wanaoamini, usitumie nguvu kubwa ya ushawishi kuwa Mungu hayupo, wewe toa mawazo yako na imani yako ila usiende beyond.
labda kwako wewe unaona Mungu hajatenda kitu kwako una haki ya kuamini unachoamini, ila kwa amabe ameomba Mungu na jambo likatendeka mwache nae aamini kuna Mungu bila kumkwaza.