Kweli Mungu ni muweza wa yote?


A dog in period again!

We nilishakwambia ukajifunze namna ya kuchati kwa busara bila matusi na kejeli husikii.Bora usiwe unajibu ninachoandika maana ulisha poteza sifa ya kujadili na mimi!.
 
A dog in period again!

We nilishakwambia ukajifunze namna ya kuchati kwa busara bila matusi na kejeli husikii.Bora usiwe unajibu ninachoandika maana ulisha poteza sifa ya kujadili na mimi!.

Kuchati inatakiwa MTU timamu na timamu mwingine. Kuchati na wagonjwa ndiko kunalazimisha tutumie lugha mwafaka kwao na wewe ni mmoja wa wagonjwa wanaostahili lugha Kama hiyo.
Acha kudisplay ujuha wako uone Kama utajibiwa kwa lugha inayofaa majuha.
Kitendo cha wewe kujinasibu Kama MTU huru unayefikiri kwa kuwa tu unakataa uwepo wa Mungu na kuwaona waamini na wafuasi wa Mungu ni watu wasio huru na wasiotumia akili ni cha kijuha mmnoooo.
As time goes utajifunza kutumia akili na kuelewa kwamba kuwa Atheist ni kuamini pasipo fikra
 
Kuna mambo yanaulizwa humu mara elfu kidogo na yalishajibiwa .....

Hili linaonesha watu hawasomi kabisa wanachoandikiwa na huku ni kupoteza muda

Kuna haja gani ya kujadili na watu wa namna hii?

Watu wamekaa ki ligi ligi zaidi,waonekane wanaweza kuandika na kukesha mtandaoni kubishana tu

Kaazi kweli kweli ...........
 
Wewe unaonesha hypertext world imekupitia kando.

Halafu katika maishabyako huthamini kusema vitu kwa uthibitisho.

Nimthibitishie nani na wakati ninaekwambia unaelewa nasema nini.
 
Nimthibitishie nani na wakati ninaekwambia unaelewa nasema nini.

That is beside my point, my point is larger than myself.

But of course you will never get that through your head.
 

Hawakumjia mitume na manabii wakampa habari za mungu?
 

Nakuonea huruma sana...Je,hayo ndiyo yaliyokufanya uache imani yako na kuwa mkanaji mungu?
Mbona hamtaki kueleza hasa kilichowafanya kuanza kupinga mungu? Mara zote tunaona mkijifariji na imani yenu kwa visabubu kama hivyo.

Najua unatumia nguvu nyingi kutafuta sababu ambazo unaona zitakufariji imani yako ya kusema hakuna mungu,hebu jiulize ni nguvu na muda kiasi gani ulitumia kutafuta sababu za kuwepo kwa mungu ukakosa hadi ukafikia kiasi cha kujilizisha kuwa hakuna mungu?
 
That is beside my point, my point is larger than myself.

But if course you will never get that through your head.

Sawa ila ukweli ndiyo huo kuwa kule umekimbia mjadala baada ya kuona hilo swali lako la miaka yote linapoteza mvuto.
 

Dog in period
 

Hujajibu swali nililouliza, na kama kuna ulichojibu, sicho nilichouliza.

Swali langu ni dogo tu.

Mwenye upendo, uwezo na akili nzuri anaweza kuacha anaowapenda wapatwe na mabaya kama anaweza kuzuia hilo?

Hujajibu hili swali. Unasema kiujumla tu hili linayeyushwa na hoja hapo juu, hujaeleza hoja gani na kivipi.

Kama tunamtegemea baba wa kibinadamu asiye na uwezo wote wala upendo wote amkinge mwanawe kutoka kwenye mabaya kama ana uwezo, inakuwaje tukubali mungu mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana livha ya kiwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Sawa ila ukweli ndiyo huo kuwa kule umekimbia mjadala baada ya kuona hilo swali lako la miaka yote linapoteza mvuto.

Kule wapi? Unaweza kuweka link hapa?

Ulielewa nilivyokujibu au nilikuwa nimekuacha kwenye mataa?

Ukeeli unajali kuwa na mvuto? Kama kitu ni kweli ila hakina mvuto kwa sababu ukweli hauvutii, kitabadilika na kuwa si kweli kwa sababu hakina mvuto?

Mimi nilifikiri tunajadili kilicho kweli, na si kilicho na mvuto.

Wewe unajadili kipi kina mvuto zaidi?
 

Moja ya tatizo linalikubali maatheist ni uoga wa kujibu hoja ambazo mnadhani zinawaaumbua.
Kama ungekuwa unajibu hoja na kuweka hoja zako ingekuwa mjadala wa maana Sana.
Nimekwambia si Mara moja kwamba hoja yako kuhusu Mungu na Upendo vs Mema na mabaya ni hoja ambayo ni mfu, ni hoja mfu kwa kuwa Uovu na Wema unaweza kupatika katika jamii inayoamini kuwepo kwa Mungu.
Kwa MTU asiyeamini uwepo wa Mungu inabidi afafanue namna ambavyo amepata ujuzi wa kutambua lililojema na lililobaya.
Huwezi kuzumgumzia wema na ubaya ukiwa na msimamo wa hakuna Mungu ! Unajitoa akili kukifanya huoni mantiki.
Labda Kama kuna kemia, fizikia unayotumia kutambua wema toka ubaya iweke hapa.
Kingine ni kwamba huko nyuma iylikuwa umehirimisha kwamba Mungu ambaye Ana upendo, uwezo na nguvu zote hayupo kwa kuwa ulimwengu aliouumba Una maovu na mateso kwa viumbe wake.
Nikakuuliza uniambie kanuni ya kimantiki uliyotumia kuhitimisha kuwa kuna uhusiano Kati ya kutokuwepo kwa Mungu na kuwepo kwa ulimwengu ambao uovu unawezekana ; hujajibu unaendelea kujaza server kwa kushusha kariri zako zinazokuridisha kwenye hoja ambayo hutaki kuijibu.
Usiogope kujibu na usiendelee na imani ya kijuha kwamba atheist mnayo haki ya kuuliza maswali na kujibiwa huku ninyi hamna wajibu wa kutafuta majibu ya maswali mnayouliza !
Kuwa Atheist ni blind faith perse japo waamini wake mnajiona sio watu wa imani.
Ulimbukeni unawatesa sana ....
Jibu hoja acha kurukaruka
 

Kwa nini uovu na wema utegemee mungu?

Unawezaje kusema hilo kabla ya kuthibitisha mungu yupo?

Mtu ambaye haamini kuwepo kwa mungu anaweza kusema uovu ni kumfanyia mwingine chochote kile ambacho hataki kufanyiwa. Kwamba chochote kile ambacho myu anafanyiwa, ili kisiwe kiovu, kitanguliwe na makubaliano ama na anayefanyiwa ama kijamii kwamba ni sawa kufanywa.

Sasa hapo mungu anahitajika wapi?

Na kuna uzuri gani kwa mungu kuwa ndiyo standard ya uzuri na uovu kama dunia bado ina uovu ambao angeweza kuuondoa lakini hajauondoa?

Kumbuka kwamba hata nikikubali kwamba mungu ndiye anayetupa kipimo cha uovu ni nini na uzuri ni nini, swali langu la msingi bado linakuwa halijajibiwa.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao uovubunawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao uovu hauwezekani?
 
Kwa nini uovu na wema utegemee mungu?

Unawezaje kusema hilo kabla ya kuthibitisha mungu yupo?

Kuwepo na uovu Ina maana unaamini kwamba kuna wema.
Kama unaamini kuwa kuna wema na uovu ni kwamba kimantiki unaamini kuwepo kwa kanuni imayoweza tumika kutenga wema dhidi ya uovu, kuamini kuwepo kwa kanuni kunaleta taarifa ya kuwepo kwa mwekaji wa kanuni husika na kuwepo kwa muwekaji wa kanuni ambayo inaksmata binadam wote ni kwamba muwekani lazima atakuwa na Mkuu kwa binadamu wote na aliyemkuu na muweza kwa wote ni yule aliye waumba binadam...Mungu.
Kwa mantiki ya kawaida ukijua kuwepo kwa Mema na maovu unakuwa unatambua kuwepo kwa muwekaji wa kanuni ya utambuzi,na umakuwa umethibitisha kuwpo kwa Mungu.
 

Kwa nini uovu uwe paired na wema?

Kwa nini huyo unayemsema kuwa mungu hakuumba ulimwengu ambao wema tu unawezekana, uovu hauwezekani kama mnavyosema alivyoumba ulimwengu ambao wanadamu tunaweza kwenda mbele tu katika muda, hatuwezi kurudi nyuma?

Tunarudi kule kule.

If complexity must be created, then god must have created man.

But because god created man, god must be even more complex than man.

Therefore god himself needs a creator. Because complexity must be created.

And his creator needs a creator, ad infinitum, ad absurdum.

Kwa hiyo kusema kanuni inahitaji muweka kanuni kutafanya hata mungu naye ahitaji muumbaji. Kwa nini uishie kwa mungu? That is a fiat, an assumption. A wrong a priori argument that takes an immense leap of faith into the unknown, without an inkling of reasonable or logical justification.

Kama kanuni inahitaji muweka kanuni, muweka kanuni katoka wapi?

Poa, hata nikilubali kwamba mungu ndiye kipomo cha uovu na uzuri, swali langu la msingi haliondolewi na kukubali huku.

Swali linauliza, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na ipendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Swali hili halitegemei kama mungu ndiye standard ya uzuri na uovu ama la. In fact, swali limeanza kwa kukupa benefit of the doubt na kukubali kwamba mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote. By definition, from those qualities, mungu huyu ndiye standard ya uzuri na ubaya. Kwa hiyo hilo, kwa msingi wa swali, halina mjadala. Sijui mjadala unataka kuuanzishia wapi.

So katika ulimwengu wako ambao mungu ndiye standard ya uzuri na ubaya, mungu huyu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote ea kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani bila ya kupoteza chochote kile?

Hujajibu swali hili, unajalibu kuliepa kwa habari ambazo hata hazina dispute katika msingi wa swali langu.
 

Bado unacheza pale pale, huwezi pokea changamto mpya toka kariri zako.
Uovu na wema unategemea Mungu kwa kuwa wewe unapozungumzia uovu Una maana ni matendo dhidi ya binadamu na ubinadamu wake, na kwa kutambua kwamba binadamu anatendewa uovu ni kwamba unaamini kuwa binadam anayo thamani kwa kile kitendo cha yeye kuwa binadamu tu. Hivyo hiyo thamani ni wewe niambie imetokana na nini kwa binadamu ambaye hakuumbwa bali no matokeo ya nguvu na muda.
Sihitaji kukutnibitishia uwepo wa Mungu wakati ujuzi wako wa mema na maovu unathibitisha hivyo.
Huyo MTU anayeamini kutokuwepo kwa Mungu anasema sema Kama kicjaaa tu hoja zisizo na mantiki. Kumtendea MTU asichotaka ndo kufanya nini ? Utakuwa unatenda kwa kujaribunhata ujue kwamba hataki ? Umedodaaa
 

Nimekwambia kwamba for the context of my question, naanza kwa kukubali kuwa uovu na uzuri unategemea kuwapo kwa mungu.

Kwa hiyo hili tuliondoe kwenye mjadala, kwani sijalibishia. Na ukitaka tujadili kitu ambacho sijakibishia nitakushangaa.

Sasa basi, nikishakubali kwamba uovu na uzuri vinategemea kuwapo kwa mungu, nakuja na swali.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaamua kuumba ulimwengu ambao uovu unawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao uovu hauwezekani kama vile alivyoumba (kwa mujibu wenu) ulimwengu ambao binadamu hawezi kurudi nyuma kwenye muda?

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao uovu hauwezekani kama vile kusivyowezekana kuwapo na pembetatu duara katika Euclidean geometry?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…