NileSat
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 340
- 179
Kuna hili swala la kusema Mungu kashatupangia kesho yetu ipoje pia anajua wewe utafanya nini kesho kwa mantiki hiyo, Mungu ni muweza wa yote hata sisi atheist kashapanga tusikubali uwepo wake kama hajapanga na hivi tunafanyavyo tunajiamulia, basi tumtoe katika kundi la mpangaji wa yote. Hii ina maana hajui kesho yangu.
Naeleweka hivi! Hoja ya uwepo wa mungu inatafisiriwa kama moja ya harakati za mwanadamu aliyekataa tamaa ambae anajipa matumaini kwa nadharia hii kuwa itamsaidia...Mungu mwenye upendo iweje aruhusu watu sio na hatia kuuwawa mungu mwenye upendo anawambia viumbe wake wawaue wengine ili waione pepo?? Mapungufu ya science kueleza asili yetu wala hayamuumbi mungu au kumfanya awepo
Naeleweka hivi! Hoja ya uwepo wa mungu inatafisiriwa kama moja ya harakati za mwanadamu aliyekataa tamaa ambae anajipa matumaini kwa nadharia hii kuwa itamsaidia...Mungu mwenye upendo iweje aruhusu watu sio na hatia kuuwawa mungu mwenye upendo anawambia viumbe wake wawaue wengine ili waione pepo?? Mapungufu ya science kueleza asili yetu wala hayamuumbi mungu au kumfanya awepo