Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana


hahahahahahhaah hili jukwaa kiboko watu ni kutendwa na kutendeana full sarakasi yaan kutoka viunga vyote vya dunia watu wametendwa 🙂 🙂
 
Ogopa kupenda Mwanamke mwenye matatizo, Atafanya temporary decisions on your permanent decision.
Mpende Mwanamke asiye na tatizo, I mean who is free in Mind!
Vinginevyo utalia sana.
 
Ogopa kupenda Mwanamke mwenye matatizo, Atafanya temporary decisions on your permanent decision.
Mpende Mwanamke asiye na tatizo, I mean who is free in Mind!
Vinginevyo utalia sana.
Aiseee!!!
 
Usimfuatilie sana mtu ili kulazimisha kuwa na wewe, kama hakupendi mwache aende zake
Hivi kiukweli unaweza kuanza kumfuatilia tu mtu out of the blues? Si ni lazima upate sababu ya kumfuatilia.
 
Ogopa kupenda Mwanamke mwenye matatizo, Atafanya temporary decisions on your permanent decision.
Mpende Mwanamke asiye na tatizo, I mean who is free in Mind!
Vinginevyo utalia sana.
Sio mwenye tatizo tu, bali hata yule anayeshikiwa akili na wenziwe over her personal life.
 
Ndio wasomi wetu hawa, kwa hiyo tusishangae maajabu kwenye ofisi wanazomilikishwa
Kwani msomi hana haki ya kupenda mkuu?
Hebu jaribu kufuatilia Abraham Maslows hierachy of needs itakusaidia kuelewa swali langu hapo juu.
 
Mi wanawake wote siku hiz nawaona kama Dada zangu tu kwakwel. Hamna namna kwa hilo
 
Kwani terms mnazoingia nazo kwenye uhusiano si inabidi ziwe consistent? Kama misingi ya uhusiano ni upendo na uaminifu na mkakubaliana katika hilo unaanzaje ku breach. Na pia huyo afanyae kinyume anaendeleaje kuwa na haki juu ya maumivu anayomsababishia mwenziwe.
The best way is to put on with the promises.
Hatukukubaliana kuwa katika polygamous relationship ila monogamous. Breach of that impliedly ni umalaya, nothing best fits!
Hutakiwi kukubali kuanzisha uhusiano mwengine wakati tayari upo katika uhusiano na mtu, Period!
Mi wanaume wenzang uwa siwaelew kabisa..
Mwanamke akikukubalia ww anakuwa sio Malaya,ILA akimkubalia na mwenzako anakuwa Malaya???!!!! Achen ubinafsi
Mi wanaume wenzang uwa siwaelew kabisa..
Mwanamke akikukubalia ww anakuwa sio Malaya,ILA akimkubalia na mwenzako anakuwa Malaya???!!!! Achen ubinafsi
 
Story nyingi za vijana ni mapenzi kunanini?????????????????? Kwanini vijana hawaji nakitu kipyaa kwenye jamiii yetu??? Kunachangamoto nyingi mno??
Labda ulikosea njia.... au simu yako imepasuka kioo. ? Me naona pameandikwa Hili ni jukwaa LA mahusiano. Samahani kwani ulidhani ni jukwaa la sheria hili. ? Ukifika hapo kwa mangi kunywa coke baridi ntalipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…