Acha uzuzu mkuu,wewe sema Tanzania ni tatizo, SA wana mpaka helicopters za kufukuzia wezi kwenye freeways zake, Botswana, Namibia, Mauritius, wapo Safi mno, umasikini upo bongo na ni umasikini wenye upumbavu ndani yake, kila kituo cha police Botswana kina Divers wenye vifaa vya kisasa vya uokoaji, idara hii ya zimamoto itolewe jeshini na kuwekwa chini ya municipalitiesSema Afrika bado maskini
Na acha kudanganya. Hayo magari yanayoporwa na kuibiwa RSA mbona hizo helicopter haziyafikuzii.Acha uzuzu mkuu,wewe sema Tanzania ni tatizo, SA wana mpaka helicopters za kufukuzia wezi kwenye freeways zake, Botswana, Namibia, Mauritius, wapo Safi mno, umasikini upo bongo na ni umasikini wenye upumbavu ndani yake, kila kituo cha police Botswana kina Divers wenye vifaa vya kisasa vya uokoaji, idara hii ya zimamoto itolewe jeshini na kuwekwa chini ya municipalities
Wewe ulitaka wavute na nini?Miaka 60+toka nchi ipate Uhuru bado watu wanavuta ndege kwa mikono ? Inaskitisha sana yaani ni mara 100 wakoloni wangeendelea kuwepo hapa nchini.....hii ni aibu kubwa sana kwa nchi yenye umri mkubwa kama Tanzania.....
"Anyway ngoja tuendelee kung'atwa na nyuki maana walamba asali wapo kazini"
Mkuu ile tafsiri ya umasikini ndio uzalendo mnayopewa na Wanasiasa wakati wao wakiwa kwenye VXR ni ya uongo..
Kuwa mzalendo wewe. Acha porojo jamvin.Jamaa hivi neno uzalendo unalichukuliaje? Anyway kuna shinda katika kufikri kwako.
Inahitajika total mindset transformation ya uhakika. Watanzania wengi ni masikini wa fikra ingawa ni wasomi wengine PhD kabisa.Miaka 60+toka nchi ipate Uhuru bado watu wanavuta ndege kwa mikono ? Inaskitisha sana yaani ni mara 100 wakoloni wangeendelea kuwepo hapa nchini.....hii ni aibu kubwa sana kwa nchi yenye umri mkubwa kama Tanzania.....
"Anyway ngoja tuendelee kung'atwa na nyuki maana walamba asali wapo kazini"