John120
Senior Member
- Jun 13, 2021
- 139
- 281
Miaka 60+toka nchi ipate Uhuru bado watu wanavuta ndege kwa mikono ? Inaskitisha sana yaani ni mara 100 wakoloni wangeendelea kuwepo hapa nchini.....hii ni aibu kubwa sana kwa nchi yenye umri mkubwa kama Tanzania.....
"Anyway ngoja tuendelee kung'atwa na nyuki maana walamba asali wapo kazini"
"Anyway ngoja tuendelee kung'atwa na nyuki maana walamba asali wapo kazini"