Hata asipokuwa Mwingine bado hiyo ndiyo kaz yake mkuuUna mawazo ya kizee sana.
Bodaboda ni kazi ya mpito tu.
Kesho huyo boda ni mtu mwingine kabisa
Ivo yaanWatu tunaanziaga life mbali sana, usimdharau mtu.
Boda ndio wanaongoza kuwato..mbea wake zenu ujue
Una mawazo ya kimaskini. BADILIKANasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Ni njere msamehe bureUna mawazo ya kimaskini. BADILIKA
Jipeni moyo tu, labda kama aache kuwa boda, awe dereva wa bajaji au hiace, hahaUna mawazo ya kizee sana.
Bodaboda ni kazi ya mpito tu.
Kesho huyo boda ni mtu mwingine kabisa
Kutomba na kufanikiwa kimaisha ni vitu viwili tofauti, hahaWatu tunaanziaga life mbali sana, usimdharau mtu.
Boda ndio wanaongoza kuwato..mbea wake zenu ujue
Hebu nipe namba ya huyo binti nimuoeNasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.