The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Mimi graduate, nilianza kujitafuta na biashara ya boda boda,
Sahivi nilipo , na mshukuru mungu,
Sahivi nilipo , na mshukuru mungu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo munaanza kuharibu kutumia boda kushambulia kundi lingine halafu kundi Hilo likishambulia boda munatia huruma kwa kusema bodaboda kwani sio mtuBoda boda wanawazidi graduate kibao tu wewe unaonggea nini sijui
Kwani bodaboda hana haki ya kuoa? Au kinachogomba ni nini hapo? Elimu kitu gani? Mwanamke awe na elimu asiwe nayo anabaki mwanamke tu. Jukumu lake kubwa ni kuzaa, mengine mbwembwe!Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Mwalimu wa 700K anapata hio pesa kiurahisi most in soft works kazini ila Boda kupata hip 700K kwa mwezi atazunguka DSM mzima akibeba watu na kukoswakoswa kutolewa utumbo na mafusoHalafu utakuta anae mponda bodaboda ni mwalimu anae lipwa laki Saba take home laki nne .
Ambayo in average amalipwa elfu 15 kwa siku ambapo sawa na boda anae beba vichwa 20 kwa siku
🤣🤣🤔naamini kabisa hii ni fake news
Inategemea na target ya boda mwenyew na huyo mwanamke atakuw na wazo gan juu ya kesho yaoUna mawazo ya kizee sana.
Bodaboda ni kazi ya mpito tu.
Kesho huyo boda ni mtu mwingine kabisa