Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Haujafa ktk Mazingira ya kazi bali BODA atakuwa kafa ktk Mazingira ya kazi.Hakuna kazi isiyokua na risk,unaweza ukapanda Bodaboda ili akuwahishe kazini kisha ukapata nae ajali huyo huyo bodaboda unayemdharau,
Hakuna kazi isiyokua na risk.
Anaolewa mzazi au binti husika? Maisha ya kupangiana had leo hii? Mbna mabwakuuuWote ni wanafki tu kujifanya mnamtetea bodaboda, ila kiukweli hakuna mzazi anaependa mwanae aolewe na mtu asiyeeleweka.
Pale jogoo anapopasua yai kwa makusudi😂Mimi naendeshea huku charambe, naomba uwe wife material wangu🤣
😄 Namtaka mziwanda wako!Mimi naendeshea huku charambe, naomba uwe wife material wangu🤣
Mabwakuu ndio nini? Acha matusi bintiAnaolewa mzazi au binti husika? Maisha ya kupangiana had leo hii? Mbna mabwakuuu
Hakuna ugumu wa ndoa hapo. Ni kwamba, dereva wa boda boda anatumia ujuzi na uzoefu wa kuendesha boda boda kwenye kupeleka moto!!Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Mabwaku sio tusi, ni "makubwaa"Mabwakuu ndio nini? Acha matusi binti
Kumbe kuna masalia ya mwanamke wa ivi[emoji4]Kuna watu wanaendesha bodaboda na familia zao wanakula, wanalala na wanavaa vizuri mnoo
Ndoa ni zaidi ya hela unajua!
Point ya nguvu sana hii, hakuna jirani/mtu anayemtakia mema mwenzake siku hz, ujirani mwema ilikuwa enz hzo kwa sasa ni unafik mtupu.Na mara nyingi wanaoiona ndoa ngumu ni ninyi third parties. Wewe na huyo mama mtu Hamna utofauti.
Ndoa ni maisha kama yalivyo maisha mengine, pressure kubwa hutoka nje ya wanandoa mkiruhusu maoni ya watu wengine kwenye maisha yenu hakuna rangi mtaacha kuona.
Ndio hapo sasa na alieandika ni mwanaume eti🙆🙆🙆Kwani dereva wa bodaboda si mtu?
unajua matokeo ya kazi ya boda boda baada ya miaka 10?Kwani dereva wa bodaboda si mtu?
Swali lilikuwa hili.unajua matokeo ya kazi ya boda boda baada ya miaka 10?
wanakufa marais ambao kila wanachotia mdomoni lazima kikaguliwe, wako na persona dr 24/7, halafu mtu anasema et kuna kazi ni risk kwa muolewaji, juz tumemzika dr na masters yake hapa, tena kaacha mwanamke mbichi kabisa, watu badala ya kumlilia marehemu walikuwa wanamlilia aliyeachwa.Kazi gani ambayo sio risk kwa muolewaji?
Balaa Mzee Tapeli Lema aliwaita Boda Wana laanaNasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
au je angekua mm saidia fund mbeba tofarje, angekua mlinzi ingekuaje hapo kama tu bodaboda anapigwa vita. Mwache amdanganye binti yake aolewe na mwenye hela alafu akageuzwe sextoy