Kweli nimetendwa mie

Kweli nimetendwa mie

Huyu jamaa sitaki kabisa nikutane naye.
Kwa sababu ni kiazi sana.
Yani yeye anafurahia nikiumia. Kamjaza Inna maneno ya uongo ya kishambenga hadi sa hiv inna hanipendi tena.
Ila ngoja niongee na Paw tumpunzishe huyu jmaa usser hata kwa miez mitatu au masaa 24 kama halima mdee

Bado ule mpango wako wa kuwa Inna na relato bado upo!??
 
Huyu jamaa sitaki kabisa nikutane naye.
Kwa sababu ni kiazi sana.
Yani yeye anafurahia nikiumia. Kamjaza Inna maneno ya uongo ya kishambenga hadi sa hiv inna hanipendi tena.
Ila ngoja niongee na Paw tumpunzishe huyu jmaa usser hata kwa miez mitatu au masaa 24 kama halima mdee
Hahaha
Hivi kesi yenu toka kipindi kile sijui mwaka jana haijaishaga tu.

Cc usser
 
Huu mtindo wa kushinda jukwaa la siasa na jukwaa la wakubwa unanikosesha wachumba.

Naombeni usajili jukwaa la kuhusiana na kujamiiana
hahaha
harafu rafiki ulipotea kitambo kumbe ulikuwa una diskas serikali ya viwanda!!
hahaha
 
Huu mtindo wa kushinda jukwaa la siasa na jukwaa la wakubwa unanikosesha wachumba.

Naombeni usajili jukwaa la kuhusiana na kujamiiana

jukwaa pendwa la wahenga mbona sijakuona labda huko siasani unakosema ndio mnajadiliana na king of social media?
 
Huyu jamaa sitaki kabisa nikutane naye.
Kwa sababu ni kiazi sana.
Yani yeye anafurahia nikiumia. Kamjaza Inna maneno ya uongo ya kishambenga hadi sa hiv inna hanipendi tena.
Ila ngoja niongee na Paw tumpunzishe huyu jmaa usser hata kwa miez mitatu au masaa 24 kama halima mdee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
asee ule uzi kumbe ulikuwa mtam hivi ngoja nika utafute

[emoji125]
 
Back
Top Bottom