Kweli nimetendwa mie

Kweli nimetendwa mie

Nampendaga uyo kaka uliemueka kwa profile hope na ww umefanana nae maana mie napenda mwanaume akiwa hb yani nikimwangalia nashiba[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
ohoooo!

[emoji124]
 
Nampendaga uyo kaka uliemueka kwa profile hope na ww umefanana nae maana mie napenda mwanaume akiwa hb yani nikimwangalia nashiba[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Am look hb than him,just look my profile babe!

Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
 
Huyo hawezi kuoa. Ingekuwa kuoa angeshaoa 2010.

Aliamua kukuharibia tu
Jamaa kana roho mbaya aisee
Yan akiona nataka kutafta uwanja
Mpya jamaa anaotesha mchongoma

Cjui n muendee kwa mganga gan


[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Jamaa kana roho mbaya aisee
Yan akiona nataka kutafta uwanja
Mpya jamaa anaotesha mchongoma

Cjui n muendee kwa mganga gan


[Color= yellow]Triple A[/color]
Itabidi umtafutie nje ya JF maana ukienda kwa mshana kana undugu naye
 
Haa haa mzeee utasema yote
Af ukicheck n huyu bibie geahabibu
[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Huyu ukitaka kumtaftie mwenzie
Wa kumsaidia kaz unatumia akili
Ustumie nguvu oooooh!!!

Ona sasa jumba bov lnakuangukia
[emoji1] [emoji1] [emoji1]

[Color= yellow]Triple A[/color]
sasa nisaidie bhana haya yeshe maana isha kuwa tab
 
Back
Top Bottom