Kweli penye nia pana njia, ni wiki ya pili sasa sijanunua kahaba

Kweli penye nia pana njia, ni wiki ya pili sasa sijanunua kahaba

Exorcist

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
1,235
Reaction score
1,268
Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.

Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.

Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu.
 
Brother hii kitu inayo itwa mbususuuu nisipo itafuta siku tatu, akili inakuwa haipo sawasawa

Nafikiria niweke jiko ndani lkn kwa hali hii tutawezana kweli
 
Brother hii kitu inayo itwa mbususuuu nisipo itafuta siku tatu,akili inakuwa haipo sawasawa
Nafikiria niweke jiko ndani lkn kwa hali hii tutawezana kweli
Pambana mzee, inawezekana, nimeamoni hilo, tafuta hobby nyingine tu.., hata bia fresh tu
 
Anza kupunguza na bia. Utanishukuru siku moja.
Maana hizo bia ipo siku zitakushawishi ujipongeze kwa kununua malaya mmoja kwa kuushida uraibu wa kununua malaya
Vipi mkuu, jamaa yangu mmoja ananiambia hapo musoma unaweza kula pisi kali sana kwa bei chee.
 
vipi mkuu,jamaa yangu mmoja ananiambia hapo musoma unaweza kula pisi kali sana kwa bei chee.
Labda ila mm sijawai jaribu kununua japo nasikia gorofani na majita road kuna bar moja huwezi wakosa.
We njoo huku utafta kajita tena kale kaliko kulia bush ama ukerewe hauto jutia na uzur videm vya huku havijui kupiga mizinga mikubwa mikubwa
 
Hali ilikuaje hapo awali..wiki mbili naona ni muda mfupi sana kujipongeza
 
Back
Top Bottom