Kweli penye nia pana njia, ni wiki ya pili sasa sijanunua kahaba

Kweli penye nia pana njia, ni wiki ya pili sasa sijanunua kahaba

labda ila mm sijawai jaribu kununua japo nasikia gorofani na majita road kuna bar moja huwezi wakosa.
We njoo huku utafta kajita tena kale kaliko kulia bush ama ukerewe hauto jutia na uzur videm vya huku havijui kupiga mizinga mikubwa mikubwa
Hahaha,mimi ni wa huko boss,unafanya kazi wapi boss?....sema hayo maeneo mimi sio yangu,nasikia hayo maeneo lakini sijawah fika
 
Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
“Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo. Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya.”
‭‭Yn‬ ‭10:9-12‬ ‭SUV‬‬

Shetani amekutegea ndoano umeimeza anakupeleka atakavyo. Kama una unyenyekevu wowote umebakia ndani yako rudi kwake aliyekuumba.

Yesu anakuita ili upate uzima tele. Ukiendelea kuna fate mbaya kuliko uraibu wa malaya na athari zake. Kuna Jehanamu ya moto.
Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Shetani ukibadilisha dhehebu la dini yake moja kwenda jingine anaweza asimaindi sana. Kwa sababu ni wake na siku akiamua kukurudisha kwa malaya unanyoosha njia mwenyewe.

Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi. Mtumwa hachagui cha kufanya bali anachoambiwa na Bwana wake.

Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
Mwizi huja ili aibe na kuharibu maisha yako. Yesu alikuja tuwe na uzima, tena tuwe nao tele!

Uzima ama mauti, ni chaguo lako!
 
Enzi hizo nishawahi kununua hadi wawili kwa mpigo.
Sasa hivi nimebaki nakunywa bia tu, tena sio kila siku. Naweza kukaa wiki bila kunywa.
 
Kwa yesu ni wapi huko. Wewe umefikaje?
Kwa Yesu ni raha, furaha, nuru na uzima wa milele. Fungua moyo wako kwa kutubu na yeye atakupa uzima wa milele.

Utakuwa na Yesu kila mahali maana yupo kila mahali. Hivyo kwa Bwana Yesu ni kila mahali. Tafuta kanisa linalohubiri wokovu wa Yesu Kristo nawe utapata mwongozo wa kuwa naye wakati wote.
 
Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.

Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.

Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
 
Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.

Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.

Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
Mfukoni uko vizuri na bia unakunywa au unajisahaulisha? Angalia chanzo
 
Ukute huyo yesu hata sura haumjui basi tu umekaririshwa
Kwa hiyo point yako ni nini haswa? Ukiwa na boss yuko Marekani au nchi nyingine ya mbali na sura humjui inakuwa umekaririshwa?

Kama una stress kiasi hiki, rudi kwa Yesu akupe pumziko. Unamuhitaji kuliko unavyoweza kudhani!
 
Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.

Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.

Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
Mpaka sasa umesevu shillingi ngapi? Anza sasa kununua matofali na ujenge
 
Back
Top Bottom