maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Pole sana... Pambana utashinda mkuuSiku 3 zilikuwa nyingi kusema ukweli, seriously
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana... Pambana utashinda mkuuSiku 3 zilikuwa nyingi kusema ukweli, seriously
Hahaha,mimi ni wa huko boss,unafanya kazi wapi boss?....sema hayo maeneo mimi sio yangu,nasikia hayo maeneo lakini sijawah fikalabda ila mm sijawai jaribu kununua japo nasikia gorofani na majita road kuna bar moja huwezi wakosa.
We njoo huku utafta kajita tena kale kaliko kulia bush ama ukerewe hauto jutia na uzur videm vya huku havijui kupiga mizinga mikubwa mikubwa
mm nipo tu kitaa sina mishe yeyote ile manHahaha,mimi ni wa huko boss,unafanya kazi wapi boss?....sema hayo maeneo mimi sio yangu,nasikia hayo maeneo lakini sijawah fika
“Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
Shetani ukibadilisha dhehebu la dini yake moja kwenda jingine anaweza asimaindi sana. Kwa sababu ni wake na siku akiamua kukurudisha kwa malaya unanyoosha njia mwenyewe.Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Mwizi huja ili aibe na kuharibu maisha yako. Yesu alikuja tuwe na uzima, tena tuwe nao tele!Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
Njoo kwa Yesu njoo
Uwe kiumbe kipya
Ya kale yote yatapita
Tazama yatakuwa mapya
Kwa Yesu ni raha, furaha, nuru na uzima wa milele. Fungua moyo wako kwa kutubu na yeye atakupa uzima wa milele.Kwa yesu ni wapi huko. Wewe umefikaje?
Njoo kwa Yesu njoo
Uwe kiumbe kipya
Ya kale yote yatapita
Tazama yatakuwa mapya
Yesu mwokozi yu ndani yangu nami ndani yake. Mara nyingi na-spend time naye. Ni Mungu mkuu na rafiki wa karibu. I love you Jesus Christ.🔥🙏Ukute huyo yesu hata sura haumjui basi tu umekaririshwa
Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
nikija musoma ntakuchek boss,kwa sasa nimetoka kidogo.....mm nipo tu kitaa sina mishe yeyote ile man
Mfukoni uko vizuri na bia unakunywa au unajisahaulisha? Angalia chanzoKwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
Kwa hiyo point yako ni nini haswa? Ukiwa na boss yuko Marekani au nchi nyingine ya mbali na sura humjui inakuwa umekaririshwa?Ukute huyo yesu hata sura haumjui basi tu umekaririshwa
poa poanikija musoma ntakuchek boss,kwa sasa nimetoka kidogo.....
Mpaka sasa umesevu shillingi ngapi? Anza sasa kununua matofali na ujengeKwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,