vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,151
- 2,896
HahahahAnza kupunguza na bia. Utanishukuru siku moja.
Maana hizo bia ipo siku zitakushawishi ujipongeze kwa kununua malaya mmoja kwa kuushida uraibu wa kununua malaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahAnza kupunguza na bia. Utanishukuru siku moja.
Maana hizo bia ipo siku zitakushawishi ujipongeze kwa kununua malaya mmoja kwa kuushida uraibu wa kununua malaya
Kaka inaonekana una mke ndani ila mbususu za malaya zimezidi utamuKwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
Hongera. Keep it up!Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu...,
Unga haufikii mbususu bwanaDunia ina mambo mengi sana...madem wana ka uraibu flani hiv kama unga...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Njoo kwa Yesu njoo
Uwe kiumbe kipya
Ya kale yote yatapita
Tazama yatakuwa mapya
Njoo kwa Yesu njoo
Uwe kiumbe kipya
Ya kale yote yatapita
Tazama yatakuwa mapya
Wakina kivuruge na chaurembo au sio mkuuNamimi na uraibu huu wa kununua Malaya , Mimi sinyi pombe ila napenda sana mbususu nanuna sana Malaya wa telegram, bar medi na ubungo , aise Malaya wa telegram ni kufuru ni dunia nyingine Kule , nazani nikioa nitaacha japo umri umeenda Niko 33 years old
Jitahid uache tabia za kujiendekeza...... Acha mambo unayoona uwez muhadithia mzazi wako... Fanya mambo ambayo ni rahis kuhadisia na kusimulia kwa watu...... Bado ujaamua naona kasi ya kununua malaya utakuja nayo ya 4g.... Labda kama utaacha pombe au kupunguzaKwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu.
Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio uamuzi nilioufanya baada ya kuona napoteza pesa nyingi mno, bora ninywe bia tu nijue moja.
Inafika wakati ada hadi nikunjwe shati, wakati hiyo pesa naichezea kwa outing 2 au 3 tu.
Hiyo hainaga kuacha labda uamue kupumzikaNamimi na uraibu huu wa kununua Malaya , Mimi sinyi pombe ila napenda sana mbususu nanuna sana Malaya wa telegram, bar medi na ubungo , aise Malaya wa telegram ni kufuru ni dunia nyingine Kule , nazani nikioa nitaacha japo umri umeenda Niko 33 years old