Kweli penye nia pana njia, ni wiki ya pili sasa sijanunua kahaba

Kaka inaonekana una mke ndani ila mbususu za malaya zimezidi utamu
 
Hongera. Keep it up!
 
Namimi na uraibu huu wa kununua Malaya , Mimi sinyi pombe ila napenda sana mbususu nanuna sana Malaya wa telegram, bar medi na ubungo , aise Malaya wa telegram ni kufuru ni dunia nyingine Kule , nazani nikioa nitaacha japo umri umeenda Niko 33 years old
 
Wakina kivuruge na chaurembo au sio mkuu
 
Jitahid uache tabia za kujiendekeza...... Acha mambo unayoona uwez muhadithia mzazi wako... Fanya mambo ambayo ni rahis kuhadisia na kusimulia kwa watu...... Bado ujaamua naona kasi ya kununua malaya utakuja nayo ya 4g.... Labda kama utaacha pombe au kupunguza
 
Hiyo hainaga kuacha labda uamue kupumzika


Nisalimie wakina shayma krish, sweety chocolate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…