Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
Mkuu naomba urejee tena maelezo yangu. Sina sehemu nimeandika mfumo kristo unafanya kazi dunia nzima. La, sijasema hayo. Nisome katikati ya maneno yangu utanipata.
=======>VATICAN ni taifa la kikristo kila mtu ajua hili. Ukristo kama nilivyokwisha sema huko nyuma sio tishio kwa mifumo hii ya kishetani. Tatizo ni uislamu kwasasa. Ndio maana vita ni dhidi ya uislamu na sio dini nyingine. Unajua wahindu(HINDUISM) ni dini yenye wafuasi wengi sana India? Kwanini hawaandamwi na Amerika na waitifaki wake? Unajua CONFUSIONISM kule China inaratio gani kwa dini nyingine? Why hawaandamwi wao ila waislamu? Kisha nikuulize kwanini ukristo upo salama mbele ya mataifa haya yenye sura ya ushetani? Tafakari! VATICAN inaweza kwakujua au kutojua ikawa inatumiwa kupambana na uislamu kwakuwa ukristo is no more a threat to them.
Mwisho tukijadili suala hili la kwa taifa letu lenye ratio ya watu inayoelekeana ni lazima kujua na kufahamu wazi kwamba ili tujikwamue na umaskini ni lazima kuwahusisha watanzania wote bila kuwainua kundi moja na kuacha kundi lingine. Sorry kwakufupisha maelezo ila ni matumaini yangu umenipata.


CHAMVIGA nashukuru Kwa maelezo yako mazuri sn!

Niseme tu Kua binafsi sipendezwi na mauji ya binadamu popote pale iwe yamefanywa na vyombo vya dola Au makundi Fulani yenye itikadi yeyote ili iwe ya kisiasa Au kidini!

Tunaitaji Dunia iwe mahala tulivu na Salama! Lkn sizani km hili linawezekana Kwani harakati Nzuri na mbaya za kisiasa Au makundi mbalimbali ni nyingi Duniani!

Nikushukuru tena Mkuu Kwa hoja zako! Na ningependa kukuongezea kitu Kua baadhi ya wakristo ni tishio Kwa Vatican! Lkn kwakua Hawa ni Kundi dogo ndio maana wanadhoofishwa kwanza walio wengi (waislam) Na itakapokaribia mwisho Hawa wakristo Wa kweli watajumlishwa ktk Kundi moja na kushambuliwa. Nataka nikwambie ndugu Yangu hii ni vita dhidi ya Ibada ya kweli!
Unabii unakwenda unatimia Kwa Kasi kubwa Yale yote yaliyosemwa na maandiko yanatimia! Ziko dalili baadhi hazijatimia lkn iliyokuu ni ulimwengu Wote kulazimishwa kuabudu siku moja hii ndio iko njiani!
 
Mkuu wa polisi ni Masawe mchaga chadema kafanya makusudi ili kutia doa serikali yeye huo mkuu wa polisi ndie alie amuru kuua na kuwafanyia jinai waislam kwa sababu kwanza yeye ni mpenzi wa chadema na pili ni ajent wa kanisa na marekani
Wakati bibi Chiku anasema kuna fujo kati ya raia wasiotaka kulipa kodi Masawe yeye ndie akitoa habari za kuna magaidi na akapeleka polisi wake kuteketeza vijiji na kutumia vyombo vya habari kusema uongo kuwa kuna gaidi

Ala kumbe unalijua tatizo la Mchaga na Chadema? Tangaza vita na Mchaga na Chadema basi badala ya kwenda unawarukia akina Chiku Ghalawa, kwani wao tatizo la Wachaga na Chadema hawanalo?

Nyerere aliposema "Nitasema kweli daima, uongo kwangu mwiko" ALIMAANISHA kuita jembe-jembe, kisu-kisu. Siyo nyie sasa hivi Ukabila mnauita utandawazi. Mtashaa waislamu, Mchaga anafaidika na ujinga wa namna hiyo!
 
FaizaFoxy haya maswali kama nikweli kwanini wenzetu watuuwe

1. J. M Kikwete

2. Said Mwema

3. Shamsi Vuai nahodha

4. Ghali bilali nk

a) Nikweli hawa wenzetu wanaweza kutuangamiza bila sabubu za msingi? hawa wanambaguwa nani?

b) Nani alitoa amri na nani alidhia kitendo hicho? je wakuu hawa wanasemaje au ndio mfumo kristo?

Nawasikitikia sana wanamtwara kwa mateso na manyanyaso waliyoyapata kwa kutetea haki zao

FaizaFoxy natambua kilio chako kwa uharamia unaofanywa na serikali yetu ya ccm.

a) Niwewe FaizaFoxy unaeshinda kutwa kucha hapa mtandaaoni kutetea serikali hihi dhalimu ya ccm au si wewe?

b) Unamlalamikia nani alhali anaesimamia serikali inayotesa na kuuwa watanzania wenzetu nchi nzima ni Alhaj kikwete?

c) Haya manyanyaso sio kwa waislam tu bali kwa watanzania walio wengine, Arusha, Mbeya, Songea, morogoro nk Taifa.


Jamaani hili sio swala la itikadi za dini CCM na Serikali yake imeshindwa kutekeleza sera za utawalabora tuungane kuitowa madarakani

Labda thulma zidi ya Uislam itaisha utawala unaokuja, maana ikiwa utawala huu ambao viongozi wa juu wengi ni Waislam lakini bado wanalalamika wanaonewa, Inamaana hiyo Tanga nzima inaongozwa na Wakristo? Je kuna Mkiristo aliyetoa amri ya kukamatwa hao wenzenu ilhali mkuu wa Jeshi la Polisi ni Said Mwema. Kama haki zenu mmeshindwa kuzipata utawala huu wa Kikwete basi msahau hata hiyo Mahakama ya Kadhi.
 
waisilamu ndo binaadamu wakujifunzia kuuwa!. ifike hatua hatua tufanyevmaamuzi. mwanza ustadh ilunga kafikishwa mahakamani. wakati mpemba yupo uraiani muda mrefu na hatua hazijachukuliwa dhidi yake!. tuamke duniani si kwetu.
 
Mbona hata waislamu wanaamini kuwa wakifa wanakwenda peponi? Wewe ni matatanishi sasa. Wakristo kuamini pepo baada ya kifo limekuwa kosa kumbe? Wewe una chuki binafsi, ungeacha kujadili mambo haya ingekuwa nafuu zaidi kwako.

kaka hapa swala si kuamini tu!. sisi tumebashiliwa pepo. wewe kwenye bibilia wapi wakristo watakwenda peponi?. tusitangulize jazba.
 
[QUOTENtuzu;8191726]CHAMVIGA nashukuru Kwa maelezo yako mazuri sn!

Niseme tu Kua binafsi sipendezwi na mauji ya binadamu popote pale iwe yamefanywa na vyombo vya dola Au makundi Fulani yenye itikadi yeyote ili iwe ya kisiasa Au kidini!

Tunaitaji Dunia iwe mahala tulivu na Salama! Lkn sizani km hili linawezekana Kwani harakati Nzuri na mbaya za kisiasa Au makundi mbalimbali ni nyingi Duniani!

Nikushukuru tena Mkuu Kwa hoja zako! Na ningependa kukuongezea kitu Kua baadhi ya wakristo ni tishio Kwa Vatican! Lkn kwakua Hawa ni Kundi dogo ndio maana wanadhoofishwa kwanza walio wengi (waislam) Na itakapokaribia mwisho Hawa wakristo Wa kweli watajumlishwa ktk Kundi moja na kushambuliwa. Nataka nikwambie ndugu Yangu hii ni vita dhidi ya Ibada ya kweli!
Unabii unakwenda unatimia Kwa Kasi kubwa Yale yote yaliyosemwa na maandiko yanatimia! Ziko dalili baadhi hazijatimia lkn iliyokuu ni ulimwengu Wote kulazimishwa kuabudu siku moja hii ndio iko njiani![/QUOTE]


Ntuzu.
Nakushukuru pia na wewe kwa maelezo yake mwanana. Najua vizuri sana na ni moja katika wakristo ambao waislamu twasema wanapumua kwani huwa mkijadili upendo,haki na heshima dhidi ya binadamu wengine huwa mnamaanisha tofauti na mathehebu mengine ya kikristo. Nyie mnamatarijio ya kupata malipo mema mbele ya Mungu ndio maana wengi wenu mnajitahidi kusimamia kile mkinenacho. Wakristo washangiliao pale waislamu wanapokumbwa na maswaiba popote duniani hawa naamini ndio wale waliokwishakata tamaa na maisha ya baada ya haya duniani. Ni wazi na najua kuwa amani duniani haitokuja/patikana na vita hii tunayoijadili itadumu mpaka siku za mwisho. Vita hii itapiganwa mpaka Mungu mwenyewe atakapoamua kuwa sasa tosha. Imeelezwa katika kitabu chetu kuwa "HAWATOACHA KUKUPIGENI KATIKA NJIA YA M/MUNGU MPAKA WAFANIKIWE KUKUTOENI KATIKA DINI YENU KAMA WAKIWEZA, NA YEYETO MWENYE KURITADI(KUBADILI DINI) MIONGONI MWENU KATIKA DINI ATAKUFA NAE AKIWA AMEKUFURU NA HAO NDIO MADHWALIMU" Na mahala pengine pamesemwa kuwa "...HAWATOKUWA RADHI NANYINYI MAYAHUDI NA WAKRISTO MPAKA MZIFUATE MILA ZAO..." Kwahiyo hii vita ni pana haishi kesho wala keshokutwa.
=======>Kwanini sasa twanyanyua sauti zetu kuyalalamikia haya mambo? Ni ili wale wanaoshiriki vita hii na walioaminishwa kuwa hii ni vita dhidi ya ugaidi wajue wazi ni hapana. Wajitoe watu katika dhulma hii kwa atakaetaka ili awe na salama mbele za Mungu. Kwayule ambaye ataona ni sawa kuendelea kushiriki katika dhulma hii madhara yake ajue hayatoishia kwa walengwa tu bali na hawa waliofanya makuwadi itawahusu. Akhsante mkuu.
 
kaka hapa swala si kuamini tu!. sisi tumebashiliwa pepo. wewe kwenye bibilia wapi wakristo watakwenda peponi?. tusitangulize jazba.

Unahasara ya kufikirika pepo na mbingu ni ipi bora. Wakristo wanakwenda mahara panaandaliwa sasa miaka 2000 na ushee. Pepo ni mahala gani kuna eneo maalumu au mahala pa utupu. Biblia isome vizuri shetani baada ya kukosa alitupwa wapi, ubashili ninini. Acheni uovu serikali yote imani yenu hamuishi kulalama mkitenda vema mtaonewa? Imani yenu inataka mwepeke yenu makafiri hapana mungu wenu wakulinda wenyewe. Utasikitika sana utakapofika huko. Chomeni makanisa ueni kila mkristo katu hamtashinda. Oneni huko kote mliko pekee yenu mnasingizia marekani kila kitu marekani.syria marekani. Lushoto nako marekani. Chunguza imani yako siku hizi za uovu nao ndy huo jipangeni kuua wakristo sawa. Ukiua nawe utauawa chuki kila siku geuka ukaishi milele endelea ukatengwe na mungu milele
 
waisilamu ndo binaadamu wakujifunzia kuuwa!. ifike hatua hatua tufanyevmaamuzi. mwanza ustadh ilunga kafikishwa mahakamani. wakati mpemba yupo uraiani muda mrefu na hatua hazijachukuliwa dhidi yake!. tuamke duniani si kwetu.
Duniani kote mnajilipua kwa ajili ya dini na imani halafu munadai kuonewa.
 
[QUOTENtuzu;8191726]CHAMVIGA nashukuru Kwa maelezo yako mazuri sn!

Niseme tu Kua binafsi sipendezwi na mauji ya binadamu popote pale iwe yamefanywa na vyombo vya dola Au makundi Fulani yenye itikadi yeyote ili iwe ya kisiasa Au kidini!

Tunaitaji Dunia iwe mahala tulivu na Salama! Lkn sizani km hili linawezekana Kwani harakati Nzuri na mbaya za kisiasa Au makundi mbalimbali ni nyingi Duniani!

Nikushukuru tena Mkuu Kwa hoja zako! Na ningependa kukuongezea kitu Kua baadhi ya wakristo ni tishio Kwa Vatican! Lkn kwakua Hawa ni Kundi dogo ndio maana wanadhoofishwa kwanza walio wengi (waislam) Na itakapokaribia mwisho Hawa wakristo Wa kweli watajumlishwa ktk Kundi moja na kushambuliwa. Nataka nikwambie ndugu Yangu hii ni vita dhidi ya Ibada ya kweli!
Unabii unakwenda unatimia Kwa Kasi kubwa Yale yote yaliyosemwa na maandiko yanatimia! Ziko dalili baadhi hazijatimia lkn iliyokuu ni ulimwengu Wote kulazimishwa kuabudu siku moja hii ndio iko njiani!

Ntuzu.
Nakushukuru pia na wewe kwa maelezo yake mwanana. Najua vizuri sana na ni moja katika wakristo ambao waislamu twasema wanapumua kwani huwa mkijadili upendo,haki na heshima dhidi ya binadamu wengine huwa mnamaanisha tofauti na mathehebu mengine ya kikristo. Nyie mnamatarijio ya kupata malipo mema mbele ya Mungu ndio maana wengi wenu mnajitahidi kusimamia kile mkinenacho. Wakristo washangiliao pale waislamu wanapokumbwa na maswaiba popote duniani hawa naamini ndio wale waliokwishakata tamaa na maisha ya baada ya haya duniani. Ni wazi na najua kuwa amani duniani haitokuja/patikana na vita hii tunayoijadili itadumu mpaka siku za mwisho. Vita hii itapiganwa mpaka Mungu mwenyewe atakapoamua kuwa sasa tosha. Imeelezwa katika kitabu chetu kuwa "HAWATOACHA KUKUPIGENI KATIKA NJIA YA M/MUNGU MPAKA WAFANIKIWE KUKUTOENI KATIKA DINI YENU KAMA WAKIWEZA, NA YEYETO MWENYE KURITADI(KUBADILI DINI) MIONGONI MWENU KATIKA DINI ATAKUFA NAE AKIWA AMEKUFURU NA HAO NDIO MADHWALIMU" Na mahala pengine pamesemwa kuwa "...HAWATOKUWA RADHI NANYINYI MAYAHUDI NA WAKRISTO MPAKA MZIFUATE MILA ZAO..." Kwahiyo hii vita ni pana haishi kesho wala keshokutwa.
=======>Kwanini sasa twanyanyua sauti zetu kuyalalamikia haya mambo? Ni ili wale wanaoshiriki vita hii na walioaminishwa kuwa hii ni vita dhidi ya ugaidi wajue wazi ni hapana. Wajitoe watu katika dhulma hii kwa atakaetaka ili awe na salama mbele za Mungu. Kwayule ambaye ataona ni sawa kuendelea kushiriki katika dhulma hii madhara yake ajue hayatoishia kwa walengwa tu bali na hawa waliofanya makuwadi itawahusu. Akhsante mkuu.[/QUOTE]




Nashukuru sn Mkuu!

Unajua Mkuu nimekua nawauliza ndugu zangu waislam hasa walio Kua wanachangia hii mada walikua wazito kutoa maelezo sn Sijui ni kwanini! Wewe umejitahidi sn tena naweza sema umekua unatoa maelezo Kwa ufupi maana haya mambo ni mapana sn na yanaitaji maelezo Kwa kina!

Mkuu Mimi Nina yaelewa haya yote Kwa kina! Kwani maandiko ndio muongozo wangu Wa maisha Yangu! Nilitaka tu kujua Kutoka upande wenu Kua mnaelewa Unabii! Nimeona mnakwenda na Unabii vizuri ingawa kuna baadhi ya vitu tunapishana lkn hii yaweza Kua ni tofauti ya vitabu tunavyotumia! Lkn karibu mambo mengi tunalingana!

Shida kubwa ya wakristo Wa kweli na nyie ndugu zangu ni Vatican! Na hii vatican iko na uhusiano wa kidiplomasia na tawala karibu zote duniani! Na km unakumbuka Imani yenu ndio iliopigana vita na Hawa na kuidhohofisha Hiyo tawala! Na hapo baadae itakuja Kua Na nguvu km zamani Kwa Msaada Wa USA na watapitisha sheria zao na taratibu zao na kubadili siku za Ibada! Na atakae wapinga atapigwa na kuteswa Au kuuawa! Uzayuni wao wanasaidia tu Hizi harakati ktk hatua za mwanzo lkn na wao hapo badae hawatopona!

Asante sn na tutazidi kujifunza mengi!
 
christianity na ushoga je??unaweza kuzungumziaje propaganda hiyo??hebu funguka kidogo Mkuu
ushoga hata waislam ni mashoga,ulawiti ni maarufu sana uarabuni na kwa waislam mkuu,mfano,mombasa wengi ni waislam lkn ulawiti uko juu sana,nani analawiti km sio waislam kulawatiana,au wakristo ndio wanawalawiti mkuu,zanzibar hivo hivo mkuu.
 
And other sheep I have which are not of this fold; them also I must bring, and they will hear My voice; and there will be one flock and one shepherd. John 10:16

Ndugu zangu
Mohamed Said
Kahtaan
Wabara
Crabat
Bopwa
Sikajiji
CHAMVIGA
Faiza Foxy
THE BIG SHOW
Gombesugu

Nimeweka kauli ya Yesu hapo juu na pia ni matumaini Yangu Kua mnaamini Masiah ndio atakae kuja hapo badae!

Yesu anasema ako na Watu wake huko na Mimi naamini wale Yesu aliokua anawazungumzia ni km nyie rafiki zangu! Naamini muda utafiki mtaisikia sauti Yake na kumfuata!
 
uislam kutawala dunia

katika kipindi cha miaka 50 ijayo uislam utatawala dunia.Population ya waislam itaengezeka mara dufu kutokana na sababu mbali mbali ikawamo watoto wa kikristo kutotaka kuzaa, ushoga na usagaji na kupotea kwa uzazi kutokana na laana ya kuuharibu ulimwengu kila karne.

Kuna sababu nyingi za kupungua idadi ya wakristo duniani moja ni uzazi wa mpango na kwa wakristo hao kuacha mafundisho ya kweli ya Nabii Issa (A.S) na badala yake kuabudu secularism na kuupamia ulimwengu kwa starehe na kuona mambo ya kuzaa kama ya kishamba.
Jengine ambalo litaumaliza ukristo kabisa ni Ushoga au Uhanithi au ubaradhuli na usagaji , leo gays na lesbians wamekua muhimu katika kuamua maamuzi ya uchaguzi na wana siasa wa huko ulaya na marekani inabidi wawaunge mkono na sasa wanaruhusiwa kufanya ndoa na maeneo mengine zinabarikiwa na makanisa,
Na hivi majuzi Pope Francis naye ameanza kuja na wazo la kuwavumilia mashoga hivo sio mbali kanisa katoliki nalo litakua na ndoa za mabaradhuli huko ulaya kwa mabaradhuli pamoja na wasagaji.
Athari yake nini ? hawa sasa wamekua wengi sana huko ulaya na marekani …lakini hawa ni useless ndoa zao sio ndoa ni partneship kwani ndoa lengo lake ni pamoja na kuzaa ili kuendeleza kizazi ili ulimwengu uendeee…lakini hawa ma baradhuli tayari wamepoteza nafasi ya kusaidia population yao….
Idadi ya mashoga na wasagaji nchi za kikristo ni kama zifuatavyo
In australia 1.6% as gay and 0.9% as bisexual
In Canada 1% who were bisexual and 1.2 gays
In Denmark survey found that 2.7% are gays
In france 4.1% of the men and 2.6% of the women are gays and lesbians
In ireland 4.5% are gays !!!!
In Norway 3.5% are are gays and lesbians
In Britain 2.1% found as gays approxiametly 845,000 !!!
USA AN Incridible population of gays 12% (San Francisco 15%)
Brazil 7.80% are gays and 3.5% lesbians (Rio de janiro 14.30% )
A Peaceful Invasion?
There is a new Muslim conquest of Europe underway—but this time, it is a peaceful invasion. Millions of Turks, Arabs, Algerians and other Muslims have immigrated to European countries, seeking employment and a better life. Often they begin as guest workers before becoming permanent residents. For years, these workers were largely welcomed by nations that needed their lower-cost labor. Increasingly, however, immigrant Muslim populations in Europe are growing to the point that they have become a major cultural and political force affecting their host countries. Rather than assimilate, they are testing the limits of European tolerance—and social tensions are growing.
In 1970, according to the World Christian Encyclopedia, there were 20 percent more Roman Catholics around the world than there were Muslims. By 2000, this proportion had almost reversed; there were 1.20 billion Muslims worldwide, compared to just 1.06 billion Roman Catholics. And Islam is growing, both through births and conversions, at a rate far greater than Roman Catholicism.
This shift is particularly visible in France. Demographers note that among French youth, the percentage of Muslims is much higher than among the general French population. In a recent column, commentator Cal Thomas speculated, "At current rates, the Muslim population will grow… to a majority in 25 years. French culture, possibly French secularism and liberty, cannot be sustained in the face of such demographic facts" ("Lessons Learned," January 11, 2006).

Analysts estimate that in Britain, for example, Islamic mosques host more worshippers each week than the Church of England! Filling the void of traditional Christianity is a robust, energetic and youthful movement afoot in Europe. If this continues at the present rate, cathedrals will appear as vestiges of a civilization of times past. The great national cultures of Italians, French, Germans and others may be replaced by a new transnational Muslim identity.
[h=3]Projections[/h] According to the Pew Research Center, Europe's population was 6% Muslim in 2010, and is projected to be 8% Muslim by 2030.[SUP][17][/SUP]
Don Melvin wrote in 2004 that, excluding Russia, Europe's Muslim population will double by 2020. He also says that almost 85% of Europe's total population growth in 2005 was due to immigration in general.[SUP][27][29][/SUP] Omer Taspinar predicted in 2001 that the Muslim population of Europe will nearly double by 2015, while the non-Muslim will shrink by 3.5%, if the higher Muslim birth rate persists.[SUP][30][/SUP] In the UK, between 2001 and 2009, the Muslim population increased roughly 10 times faster than the rest of the population.[SUP][31][/SUP]


 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa polisi ni Masawe mchaga chadema kafanya makusudi ili kutia doa serikali yeye huo mkuu wa polisi ndie alie amuru kuua na kuwafanyia jinai waislam kwa sababu kwanza yeye ni mpenzi wa chadema na pili ni ajent wa kanisa na marekani
Wewe kama ni mwislamu basi ni wale waliohalalisha uongo kwa manufaa yao.tangu lini nchi hii akawepo mkuu wa polisi kutokea chama pinzani , kwani hii ni imekuwa serikali ya mseto.? mimi naongea kwa data hizi hapa;

IGP mwema ni mchagga na mwislamu tena ni CCM ambapo CCm ni chama cha waislamu chenye mwislamu wenzako ambao ni ndugu, hivyo rais ni ndugu na nchi zote za kiarabu duniani ikiwemo saudia arabia, Syria, iraq, iran, falme za kiarabu,yemen, zanzibar na nchi zote za waarabu wote waliopo ulimwenguni (changanya na takwimu za uzi ulioutoa hapo juu wenye kichwa cha habari kisemacho"uislam kutawala dunia", plaz majini ni ndugu wa waislamu, ccm chama cha waislamu, Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu. Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu Rais (mwislamu), Makamu wa Rais (Muislamu), Katibu Mkuu ccm Abdulrahman Kinana (Muislamu), Naibu Katibu Bara ccm Mwigulu Nchemba (Muislamu), Katibu Itikani na Uenezi Nape Nnauye (Muislamu), Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Zakia Meghji ( Muislamu), Katibu wa NEC Oganizesheni Mohamed Seif Khatib ( Muislamu), jaji mkuu wa nchi chande othman(mwislamu) ,Aijipii mwema (mwislamu), Mayor Omari Guledi (mwislamu), Katibu wake Ahmed Mustafa (mwislamu) Mkuu wa Mkoa Chiku Galawa(mwislamu), na matajiri wakubwa nchini wenye kumiliki zaidi ya asilimia 80% ya ardhi hii ya Tanzania (waislamu), mwenyekiti wa kijiji (mwislamu) tukio limefanywa kwenye vijiji vya waislamu misikiti iliyochomwa ya waislamu, sheria za mahakama ya kadhi ya kiislamu(ipo).
takwimu zinaoneesha waislamu wanaongoza kwa kuchapana misikitini kuliko aina nyingine ya dini kuanzia tanzania na duniani kwa ujumla.tukio limefanyika katika jiji la waislamu.
ikumbukwe pia serikali ya ccm hasa ya JK, ndio maarufu kwa matumizi ya bastola ama bunduki dhidi ya raia. kama walivyofanya kwa ulimboka, alichofanya mabina, ditopile na wakina bashe kwenye uchaguzi igunga. pia usisahau JK kuwaambia wanachama wake pale dodoma kuwa wasitegemee tena kusaidiwa na polisi dhidi ya upinzani ambao ni hao chadema. nadhani huyu massawe ni chamtoto sana, wangemshtaki kwa sheria za kiislamu manake zipo na wanaye jaji mkuu othmani na IGP mwema ambao wako juu yake na ni waislamu wote hawa.


Wakati bibi Chiku anasema kuna fujo kati ya raia wasiotaka kulipa kodi Masawe yeye ndie akitoa habari za kuna magaidi na akapeleka polisi wake kuteketeza vijiji na kutumia vyombo vya habari kusema uongo kuwa kuna gaidi
Bibi chiku ambaye ni mwislamu sio mpelelezi wa serikali hivyo hawezi kutoa habari za kipelelezi kama ambavyo massawe angeweza kuzitoa. Hivyo bi chiku anaweza kutoa kauli za kisiasa tu. na hii ni dalili kuwa serikali ya ccm haina ushirikiano wa kutosha katika utekelezaji wa baadhi ya maazimio yake pengine ndio maana wanapishana kauli, jambo hili limewahi kutokea kati ya JK na pinda, na kuwafanya watu wachague mtu wa kumsikiliza.
 
ukweli upi?? we unaejiita mfuasi wa yesu ELIMU YA ANDIKO LAKO HUNA!!

Wapi ANDIKO LAKO LINAKWAMBIA WEWE MKIRISTO KUWA UTAPATA UZIMA WA MILELE!!??

Mbona nyie ni wepesi kufuata maneno ya wazungu kirahisi hivi??

Onyesha hapa kuwa WAKRISTO WATAPATA UZIMA WA MILELE, GUARANTEED!! wapi??

Nyie kuropoka tu ni mahodari sana.

Yesu sio MUNGU Wala hajawahi kusema yeye ni Mungu wala MWANA WA MUNGU"! Hio mmezua nyie na yule muongo PAULO.

Yohana 3:16 "Kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele."

1Yohana 5:11-12 " Na huu ndiyo ushuhuda ya kwamba mungu alitupa uzima wa milele na uzima huu umo katika mwanawe."
 
Wewe kama ni mwislamu basi ni wale waliohalalisha uongo kwa manufaa yao.tangu lini nchi hii akawepo mkuu wa polisi kutokea chama pinzani , kwani hii ni imekuwa serikali ya mseto.? mimi naongea kwa data hizi hapa;

IGP mwema ni mchagga na mwislamu tena ni CCM ambapo CCm ni chama cha waislamu chenye mwislamu wenzako ambao ni ndugu, hivyo rais ni ndugu na nchi zote za kiarabu duniani ikiwemo saudia arabia, Syria, iraq, iran, falme za kiarabu,yemen, zanzibar na nchi zote za waarabu wote waliopo ulimwenguni (changanya na takwimu za uzi ulioutoa hapo juu wenye kichwa cha habari kisemacho"uislam kutawala dunia", plaz majini ni ndugu wa waislamu, ccm chama cha waislamu, Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu. Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu Rais (mwislamu), Makamu wa Rais (Muislamu), Katibu Mkuu ccm Abdulrahman Kinana (Muislamu), Naibu Katibu Bara ccm Mwigulu Nchemba (Muislamu), Katibu Itikani na Uenezi Nape Nnauye (Muislamu), Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Zakia Meghji ( Muislamu), Katibu wa NEC Oganizesheni Mohamed Seif Khatib ( Muislamu), jaji mkuu wa nchi chande othman(mwislamu) ,Aijipii mwema (mwislamu), Mayor Omari Guledi (mwislamu), Katibu wake Ahmed Mustafa (mwislamu) Mkuu wa Mkoa Chiku Galawa(mwislamu), na matajiri wakubwa nchini wenye kumiliki zaidi ya asilimia 80% ya ardhi hii ya Tanzania (waislamu), mwenyekiti wa kijiji (mwislamu) tukio limefanywa kwenye vijiji vya waislamu misikiti iliyochomwa ya waislamu, sheria za mahakama ya kadhi ya kiislamu(ipo).
takwimu zinaoneesha waislamu wanaongoza kwa kuchapana misikitini kuliko aina nyingine ya dini kuanzia tanzania na duniani kwa ujumla.tukio limefanyika katika jiji la waislamu.
ikumbukwe pia serikali ya ccm hasa ya JK, ndio maarufu kwa matumizi ya bastola ama bunduki dhidi ya raia. kama walivyofanya kwa ulimboka, alichofanya mabina, ditopile na wakina bashe kwenye uchaguzi igunga. pia usisahau JK kuwaambia wanachama wake pale dodoma kuwa wasitegemee tena kusaidiwa na polisi dhidi ya upinzani ambao ni hao chadema. nadhani huyu massawe ni chamtoto sana, wangemshtaki kwa sheria za kiislamu manake zipo na wanaye jaji mkuu othmani na IGP mwema ambao wako juu yake na ni waislamu wote hawa.



Bibi chiku ambaye ni mwislamu sio mpelelezi wa serikali hivyo hawezi kutoa habari za kipelelezi kama ambavyo massawe angeweza kuzitoa. Hivyo bi chiku anaweza kutoa kauli za kisiasa tu. na hii ni dalili kuwa serikali ya ccm haina ushirikiano wa kutosha katika utekelezaji wa baadhi ya maazimio yake pengine ndio maana wanapishana kauli, jambo hili limewahi kutokea kati ya JK na pinda, na kuwafanya watu wachague mtu wa kumsikiliza.

Porojo loote utumbo mtupu.huyu masawe juzi tena ati amekamata waislam wakiwa na mapanga chupa petrol msikitini wanapanga kuripua wakati huu wa holidsys!!! Basi huyu masawe ndio muongo hajui hata tanga wanavokaa watu wa dini bila ya bugudha kati kati yao leo yeye anataka kuwagombanisha
Katika mada kuu kuna sheikh chambuso huyu ni kiongozi wa waislam mjini tanga .hakai kilindi alifika bombo hospital kuajulia mahabusu masawe akamrrisha akamatwe .
Sasa jiulize huyu masawe kuwasingixia katumwa na kikwete
 
Wewe kama ni mwislamu basi ni wale waliohalalisha uongo kwa manufaa yao.tangu lini nchi hii akawepo mkuu wa polisi kutokea chama pinzani , kwani hii ni imekuwa serikali ya mseto.? mimi naongea kwa data hizi hapa;

IGP mwema ni mchagga na mwislamu tena ni CCM ambapo CCm ni chama cha waislamu chenye mwislamu wenzako ambao ni ndugu, hivyo rais ni ndugu na nchi zote za kiarabu duniani ikiwemo saudia arabia, Syria, iraq, iran, falme za kiarabu,yemen, zanzibar na nchi zote za waarabu wote waliopo ulimwenguni (changanya na takwimu za uzi ulioutoa hapo juu wenye kichwa cha habari kisemacho"uislam kutawala dunia", plaz majini ni ndugu wa waislamu, ccm chama cha waislamu, Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu. Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu Rais (mwislamu), Makamu wa Rais (Muislamu), Katibu Mkuu ccm Abdulrahman Kinana (Muislamu), Naibu Katibu Bara ccm Mwigulu Nchemba (Muislamu), Katibu Itikani na Uenezi Nape Nnauye (Muislamu), Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Zakia Meghji ( Muislamu), Katibu wa NEC Oganizesheni Mohamed Seif Khatib ( Muislamu), jaji mkuu wa nchi chande othman(mwislamu) ,Aijipii mwema (mwislamu), Mayor Omari Guledi (mwislamu), Katibu wake Ahmed Mustafa (mwislamu) Mkuu wa Mkoa Chiku Galawa(mwislamu), na matajiri wakubwa nchini wenye kumiliki zaidi ya asilimia 80% ya ardhi hii ya Tanzania (waislamu), mwenyekiti wa kijiji (mwislamu) tukio limefanywa kwenye vijiji vya waislamu misikiti iliyochomwa ya waislamu, sheria za mahakama ya kadhi ya kiislamu(ipo).
takwimu zinaoneesha waislamu wanaongoza kwa kuchapana misikitini kuliko aina nyingine ya dini kuanzia tanzania na duniani kwa ujumla.tukio limefanyika katika jiji la waislamu.
ikumbukwe pia serikali ya ccm hasa ya JK, ndio maarufu kwa matumizi ya bastola ama bunduki dhidi ya raia. kama walivyofanya kwa ulimboka, alichofanya mabina, ditopile na wakina bashe kwenye uchaguzi igunga. pia usisahau JK kuwaambia wanachama wake pale dodoma kuwa wasitegemee tena kusaidiwa na polisi dhidi ya upinzani ambao ni hao chadema. nadhani huyu massawe ni chamtoto sana, wangemshtaki kwa sheria za kiislamu manake zipo na wanaye jaji mkuu othmani na IGP mwema ambao wako juu yake na ni waislamu wote hawa.



Bibi chiku ambaye ni mwislamu sio mpelelezi wa serikali hivyo hawezi kutoa habari za kipelelezi kama ambavyo massawe angeweza kuzitoa. Hivyo bi chiku anaweza kutoa kauli za kisiasa tu. na hii ni dalili kuwa serikali ya ccm haina ushirikiano wa kutosha katika utekelezaji wa baadhi ya maazimio yake pengine ndio maana wanapishana kauli, jambo hili limewahi kutokea kati ya JK na pinda, na kuwafanya watu wachague mtu wa kumsikiliza.

Kichwa kimejaa maji tupu. Huo uongo unakusaidia nini?
 
Haitwi ossama. Bali ni SHEIKH OSAMA MWANA WA LADEN!
Ametingisha mataifa zaidi ya 50 ya makafiri!
Kawarudisha makafiri kwenye body bags kwa maalfu!
Ni one man army! Wamepiga kila kona ya afghanistan na Pakistan kwa zaidi ya miaka zaidi ya 10 na ziada lkn wapi!
Kwa hio unapotaka jina lake MPE HESHIMA yake!

Kama hii ndio heshma ya shekhe Osama,basi dini aliyo kuwa akiongoza ni waabudu SHETANI.
 
uislam kutawala dunia

katika kipindi cha miaka 50 ijayo uislam utatawala dunia.Population ya waislam itaengezeka mara dufu kutokana na sababu mbali mbali ikawamo watoto wa kikristo kutotaka kuzaa, ushoga na usagaji na kupotea kwa uzazi kutokana na laana ya kuuharibu ulimwengu kila karne.

Kuna sababu nyingi za kupungua idadi ya wakristo duniani moja ni uzazi wa mpango na kwa wakristo hao kuacha mafundisho ya kweli ya Nabii Issa (A.S) na badala yake kuabudu secularism na kuupamia ulimwengu kwa starehe na kuona mambo ya kuzaa kama ya kishamba.
Jengine ambalo litaumaliza ukristo kabisa ni Ushoga au Uhanithi au ubaradhuli na usagaji , leo gays na lesbians wamekua muhimu katika kuamua maamuzi ya uchaguzi na wana siasa wa huko ulaya na marekani inabidi wawaunge mkono na sasa wanaruhusiwa kufanya ndoa na maeneo mengine zinabarikiwa na makanisa,
Na hivi majuzi Pope Francis naye ameanza kuja na wazo la kuwavumilia mashoga hivo sio mbali kanisa katoliki nalo litakua na ndoa za mabaradhuli huko ulaya kwa mabaradhuli pamoja na wasagaji.
Athari yake nini ? hawa sasa wamekua wengi sana huko ulaya na marekani …lakini hawa ni useless ndoa zao sio ndoa ni partneship kwani ndoa lengo lake ni pamoja na kuzaa ili kuendeleza kizazi ili ulimwengu uendeee…lakini hawa ma baradhuli tayari wamepoteza nafasi ya kusaidia population yao….
Idadi ya mashoga na wasagaji nchi za kikristo ni kama zifuatavyo
In australia 1.6% as gay and 0.9% as bisexual
In Canada 1% who were bisexual and 1.2 gays
In Denmark survey found that 2.7% are gays
In france 4.1% of the men and 2.6% of the women are gays and lesbians
In ireland 4.5% are gays !!!!
In Norway 3.5% are are gays and lesbians
In Britain 2.1% found as gays approxiametly 845,000 !!!
USA AN Incridible population of gays 12% (San Francisco 15%)
Brazil 7.80% are gays and 3.5% lesbians (Rio de janiro 14.30% )
A Peaceful Invasion?
There is a new Muslim conquest of Europe underway—but this time, it is a peaceful invasion. Millions of Turks, Arabs, Algerians and other Muslims have immigrated to European countries, seeking employment and a better life. Often they begin as guest workers before becoming permanent residents. For years, these workers were largely welcomed by nations that needed their lower-cost labor. Increasingly, however, immigrant Muslim populations in Europe are growing to the point that they have become a major cultural and political force affecting their host countries. Rather than assimilate, they are testing the limits of European tolerance—and social tensions are growing.
In 1970, according to the World Christian Encyclopedia, there were 20 percent more Roman Catholics around the world than there were Muslims. By 2000, this proportion had almost reversed; there were 1.20 billion Muslims worldwide, compared to just 1.06 billion Roman Catholics. And Islam is growing, both through births and conversions, at a rate far greater than Roman Catholicism.
This shift is particularly visible in France. Demographers note that among French youth, the percentage of Muslims is much higher than among the general French population. In a recent column, commentator Cal Thomas speculated, "At current rates, the Muslim population will grow… to a majority in 25 years. French culture, possibly French secularism and liberty, cannot be sustained in the face of such demographic facts" ("Lessons Learned," January 11, 2006).

Analysts estimate that in Britain, for example, Islamic mosques host more worshippers each week than the Church of England! Filling the void of traditional Christianity is a robust, energetic and youthful movement afoot in Europe. If this continues at the present rate, cathedrals will appear as vestiges of a civilization of times past. The great national cultures of Italians, French, Germans and others may be replaced by a new transnational Muslim identity.
[h=3]Projections[/h] According to the Pew Research Center, Europe's population was 6% Muslim in 2010, and is projected to be 8% Muslim by 2030.[SUP][17][/SUP]
Don Melvin wrote in 2004 that, excluding Russia, Europe's Muslim population will double by 2020. He also says that almost 85% of Europe's total population growth in 2005 was due to immigration in general.[SUP][27][29][/SUP] Omer Taspinar predicted in 2001 that the Muslim population of Europe will nearly double by 2015, while the non-Muslim will shrink by 3.5%, if the higher Muslim birth rate persists.[SUP][30][/SUP] In the UK, between 2001 and 2009, the Muslim population increased roughly 10 times faster than the rest of the population.[SUP][31][/SUP]





Mkuu mi nilifikiri utanipa maandiko Kutoka ndani ya maandiko hasa kitabu chako! Mkuu Nipe maandiko Kutoka kwenye Quran Kua uislam utatawala Dunia!

Hizo tathimini ulizonipa hazina nguvu hasa Kwa ulimwengu Wa maghalibi na Ukumbuke Kua Hawa ndio wazee Wa fitina! Yani wako razi kupandikiza magonjwa sugu na Hatari yenye kuuwa kupambana na population! Sijui unaonaje Kwa hayo!? Kwasababu shida kubwa iko kwenye mfumo! Watazaliana sn lkn kuingia kwenye system ni Kz! Mfano tu, tuangalie safari ya kupata rais mweusi USA imewachukua muda gani mpaka kumpata Obama?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom