Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
Mkuu CHAMVIGA Na Mohamedi Said km unakumbuka tangu hapo nyuma nilikua naepuka sn kuchangia juu ya tukio lilitokea huko Tanga Kwani nilihisi kuweza kukosea ktk kutoa maoni Yangu!

Sasa Mkuu Bopwa ameleta Taarifa ya Gazeti la Nipashe yenye habari Hiyo!

Nilichokua napendekeza Tujaribu kuiangalia hivyo ilivyo na Kwa uwezo wetu Mdogo Wa sheria tuone Hiyo dhuluma dhidi ya uislam! Na hayo mambo mengine km ugaidi etc!

Na pia msisahau kutolea majibu Yale tuliyouliza Kuhusu mafungu ndani ya Quraan yenye kufundisha kupigana mpk pale fitna imekwisha na kupambana kutetea haki ata km ni Kwa kuua!

Asante!

Hivi chadema wanapoingia mitaani na kufanya maandamano mpaka watu wanakufa na wanapojiita wapiganaji, huwa wanapigania nini?
 
mh!mkuu hebu fuatilia mtiririko wa post zangu uelewe kama mie na wewe tunapingana au tuko pamoja.Jaribu kufuatilia kile mtu anachosema na kuelewa.Nadhani huu ushauri ulipaswa kumpa elungata tena nashukuru atakuwa kashausoma.Umenisaidia sana aisee.
Mpendwa Sisi hatuna ihtilafu kati yetu... Heshima za kibinaadamu zinakubalika kijamii, kwa kuwa Dini na Imani zote husisitiza maadili na utiifu kwa Muumba huyo Mmoja. Yaani wewe ukisali na mimi nikisali hayo ni yetu Binafsi.!!
Good Luck.
 
Hivi chadema wanapoingia mitaani na kufanya maandamano mpaka watu wanakufa na wanapojiita wapiganaji, huwa wanapigania nini?


Mkuu Sijui nikujibu nini Kwa hoja yako hii?!

Ebu km unaona nimekukwaza nisemahe bure!

Tujikite ktk mada huku tukitumia rejea ya Mkuu Bopwa ya gazeti la Nipashe ktk kuitambua Hiyo dhuluma!

Asante!
 
They were commmanded not to harm the grass of the earth, or any green thing, or any tree, but only those men who do not have the seal of God on their foreheads!
Revelation 9:4

Mkuu Ebu linganisha hayo ulioandika na Hili andiko ndani ya Biblia! Hiyo ufunuo 9:1-12 Ina Unabii mzuri ambao Naona unashabiliana na Hicho ulichoandika!

Sasa maswali ya kujiuliza hapa ni nini maana ya nyasi na miti ya kijani na Muhuri Wa Mungu ni upi? Na kina nani Hao waliopewa amri?

Natamani kuongea juu ya hapa lkn Nahisi ntakwenda nje ya mada!
MwangaRuka..Mwadera Mkuu Sina shaka wa utata.... Mie Kama Muislamu na MuUmini wa haki kwa kila la utiifu kwa Mwenyeezzi Mungu nina kubali amri zake4 zote na maandishi yake bila kusita au kusuasua! Haswa alipotutukuza sie TUNAO-SUJUDU " SimaUhum fi-Wajuhuhem " ((yaani alama zao zipo kwenye vipaji vya usoni mwao hao ndiyo wacha Mungu))
Kwa hiyo Mha Mungu wa kweli ni mtenda mema kwenye UHAI na mkataza maovu.!!
Naikiri VITABU vyote hufundisha maelezo ya mema kati ya JAMII .. ! Na mbora kati yetu wanaAdamu ni Mcha Mungu.
Most wellcome kwenye Dini yenye Upeo wa kumjua MwenyeEezi na Misamaha kwa kila upendo na kusaidiana 24/7... jione mwenyewe. Good Luck
 
Mkuu Sijui nikujibu nini Kwa hoja yako hii?!

Ebu km unaona nimekukwaza nisemahe bure!

Tujikite ktk mada huku tukitumia rejea ya Mkuu Bopwa ya gazeti la Nipashe ktk kuitambua Hiyo dhuluma!

Asante!

Kwanini tusirejee na Post iliyoanzisha mada pia?
 
MwangaRuka..Mwadera Mkuu Sina shaka wa utata.... Mie Kama Muislamu na MuUmini wa haki kwa kila la utiifu kwa Mwenyeezzi Mungu nina kubali amri zake4 zote na maandishi yake bila kusita au kusuasua! Haswa alipotutukuza sie TUNAO-SUJUDU " SimaUhum fi-Wajuhuhem " ((yaani alama zao zipo kwenye vipaji vya usoni mwao hao ndiyo wacha Mungu))
Kwa hiyo Mha Mungu wa kweli ni mtenda mema kwenye UHAI na mkataza maovu.!!
Naikiri VITABU vyote hufundisha maelezo ya mema kati ya JAMII .. ! Na mbora kati yetu wanaAdamu ni Mcha Mungu.
Most wellcome kwenye Dini yenye Upeo wa kumjua MwenyeEezi na Misamaha kwa kila upendo na kusaidiana 24/7... jione mwenyewe. Good Luck

Gawiza nkoi!
Thx Kwa hoja yako lkn ungependa kuijua alama ya Mungu ktk mapaji ya uso?

Anyway! Tutakwenda nje ya mada! Lkn the seal of God in foreheads ni AMRI za Mungu!

Thx
 
Yaani muislamu akidai haki yake huitwa gaidi,lkn cha kushangaza hd sasa maana halisi ya ugaidi haijapatikana kila mmoja anasema kivyake,lkn poleni waislamu woote kwa madhila mnayoyapata mungu yu pamoja nanyi,hakika dhulma haidumu.
 
Kwa hii Taarifa km ni kweli jinsi ilivyo kuna vitu vingi vya kuangalia hapa na Kwa pande zote!
(1) kukataa kulipa ushuru uliopangwa kisheria na mamlaka Kwa kusingizia dini Hilo tuliangalie!

(2)kumua mgambo aliekua anatekeleza majukumu yake nalo pia tuliangalie!

(3)kitendo Cha kuwatafuta watuhumiwa Wa mauaji ya mgambo ambao huenda Polisi walipata habari Kua huenda walijificha msikitini nalo pia la kuangalia!

(4)kujeruhiwa Kwa Askari Polisi Kwa risasi na Watu nalopia la kuangalia!

Kuna vitu vingi vya kuangalia ktk hili Labda tuombe Msaada Wa wanasheria kuja kutusaidia ktk hili!
Mimi Naona niishie hapa!

na kwa nini kuwe na mfanano wa matukio kilindi na Lushoto?je,huko Lushoto ilikuwa wananchi wote au wananchi waislam?kwa kweli kama ishu iko hivi alivyoileta Bopwe,hapa inabidi tuwe waangalifu!huenda kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia.Ni tukio linalohitaji uchunguzi kwa kweli ila kuna umuhimu sasa wa yale maswali yetu kujibiwa na bin Rabah.Nilivyoelewa mimi tukio la kumuua mgambo wakati akitekeleza wajibu wa kuzilinda sheria,pamoja na kushambuliwa na watu wenye silaha msikitini ni provocation iliyosababisha watumie nguvu.Sasa kama hii violent resistance waliipata kutoka kwa kundi moja la wananchi,ilibidi kulifuatilia kundi hilo na ndipo hapa maswali ya Ntuzu hapo juu yanapokuwa ya maana na kama hizo elements zipo basi huu ni ugaidi haijalishi jina gani limetumika kuupendezesha iwe waislam,iwe wananchi n.k cha msingi kabisa,twende kwenye root cause,je,huo ushuru wa hiliki ni utaratibu halali kisheria hapo?ni basis gani aliyepinga alizisimamia kama sababu ya kupinga?je,hizo sababu ni rational?
 
Kwanini tusirejee na Post iliyoanzisha mada pia?

Mkuu post iliyoanzisha mada haiko Balance, samahani Kwa Kusema hivyo! Na pia Kwa kutumia Hilo bandiko na Taarifa ya gazeti la Nipashe aliyo leta ndugu Bopwa! Tunaweza pata uhalisi Wa tukio na kuweza kuchangia!

Asante!
 
Mkuu Sijui nikujibu nini Kwa hoja yako hii?!

Ebu km unaona nimekukwaza nisemahe bure!

Tujikite ktk mada huku tukitumia rejea ya Mkuu Bopwa ya gazeti la Nipashe ktk kuitambua Hiyo dhuluma!

Asante!

Sioni ajabu kuwa huna la kunijibu.

Hukunikwaza hata chembe, labda mimi ndio nikuombe msamaha kwa kukuuliza swali ambalo huwezi kulijibu.

Nimekuelewa. Nimatumaini yangu na wengine wanaoupitia huu uzi wamekuelewa pia.
 
na kwa nini kuwe na mfanano wa matukio kilindi na Lushoto?je,huko Lushoto ilikuwa wananchi wote au wananchi waislam?kwa kweli kama ishu iko hivi alivyoileta Bopwe,hapa inabidi tuwe waangalifu!huenda kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia.Ni tukio linalohitaji uchunguzi kwa kweli ila kuna umuhimu sasa wa yale maswali yetu kujibiwa na bin Rabah.Nilivyoelewa mimi tukio la kumuua mgambo wakati akitekeleza wajibu wa kuzilinda sheria,pamoja na kushambuliwa na watu wenye silaha msikitini ni provocation iliyosababisha watumie nguvu.Sasa kama hii violent resistance waliipata kutoka kwa kundi moja la wananchi,ilibidi kulifuatilia kundi hilo na ndipo hapa maswali ya Ntuzu hapo juu yanapokuwa ya maana na kama hizo elements zipo basi huu ni ugaidi haijalishi jina gani limetumika kuupendezesha iwe waislam,iwe wananchi n.k cha msingi kabisa,twende kwenye root cause,je,huo ushuru wa hiliki ni utaratibu halali kisheria hapo?ni basis gani aliyepinga alizisimamia kama sababu ya kupinga?je,hizo sababu ni rational?


Mkuu! Bopwe ameleta Taarifa ya gazeti na chini Yake akaweka na maswali! Lkn Kwa Taarifa Hiyo ya Mkuu Bopwe ni lazima kuiangalia Kwa kina sn na Kwa pande zote mbili!

Kwa kuanzia mwanzo Wa habari Hiyo Kwa wanasheria wanajua kuchanganua vizuri kimoja baada ya kingine! Na ndio maana Mimi nikaomba ushauri Wa kisheria Kwa watalaamu juu ya Hilo! Na Labda Kwa kufanya hivyo twaweza pata kujua hii dhuluma!

Thx
 
Swala hapa kama hiyo ilikua ni uhalifu kwanini wakauita ni ugaidi na kwanini waka initiate collective punishment kwa raia na kuchoma moto nyumba?.
Kwanini wakazuia waandishi wa habari kuingia na kucover matukio?

hili nalo neno.pia niongezee na vyombo vya habari vilizuiwa kwa nia njema ya kutoendekeza na kusambaza roho ya machafuko au vilizuiwa kwa lazima?haya yoote wananchi tunahitaji majibu toka serikalini na kwa wahusika wenyewe.
 
Sioni ajabu kuwa huna la kunijibu.

Hukunikwaza hata chembe, labda mimi ndio nikuombe msamaha kwa kukuuliza swali ambalo huwezi kulijibu.

Nimekuelewa. Nimatumaini yangu na wengine wanaoupitia huu uzi wamekuelewa pia.

Thx na pa1 sn Mkuu!
 
Gawiza nkoi!
Thx Kwa hoja yako lkn ungependa kuijua alama ya Mungu ktk mapaji ya uso?

Anyway! Tutakwenda nje ya mada! Lkn the seal of God in foreheads ni AMRI za Mungu!

Thx
Wamolaa,
Ghawizza... wandugu Sisi WaUmini wa kiisilam tunatambulika kwa hadhi yakuwa kugusisha kipaji cha Uso chini ni Uhusiano na Mwenyeezi Mungu hivyo Moula-Karimu anatutambua vilivyo !! Na kwavile siye hungara kama vile hapa tuonavyp NYOTA zilizo angani Siye tumeridhia With RESPECT...
kwa wasiyefahamu.
waweejjah.
 
Sio kweli kwamba kule kilindi Tanga kulikua au kuna al shabab. Ukitaka kujua anza kutafuta nini ilikua sababu ya operation ile hatamu.
Chanzo cha vurugu ni ugomvi wa mgambo na wakulima na wafanya biashara wa hiliki.mgambo walikua wanalazimisha kwa kutumia nguvu ulipaji wa kodi haramu kwa mazao.na inaonekana ni mazoea yao kutumia mwanya wa kuvaa magwanda yao na kuwaonea raia wasi na hatia. Wananchi kwa pamoja walikataa uonevu ule hali iliyopelekea mapambano na kusababisha kifo cha mgambo mmoja na wananchi kadhaa kujeruhiwa.
Tukio lile likafika polisi nao badala ya kufanya uchunguzi wa tukio walikwenda ki operation na ilawa ni hali ya mapambano baina yao na raia watu wengi wakajeruhiwa na akiwamo polisi.
Polisi wakaongezewa nguvu na ndipo walipo fanya collective punishment. Na raia wakajificha kwenye misikiti lakini hio haikua dawa kijiji kizima kilikua katika kushambuliwa wanawake wakakimbia mapolisi wakaacha watoto wao. Wanaume wengi wakakimbilia maporini.
Kutokana na uhalifu ulofanyika kuwa mkubwa ndio kama kawaida afande masawe akatangaza kuwa ilikuwa operation ya kupigana na alshabab.
Yote kujaribu ku cover up uhalifu waliowafanyia raia.
Wakati yeye akitangaza anapambana na alshabab mkuu wa mkoa bibi chiku anasema hakuna gaidi ni wavunja sheria tu.
Hivyo tukirudi kwenye suala la mada kuu jibu ni kuwa vita ya ugaidi inatumiwa kama mwanya wa kuubamiza uislam. Waloathirika ni waislam .misikiti yao ilivamia na maimam ndio walokamatwa.
Kutoka vurugu za kuuza hiliki mpaka ikageuzwa kuwa ugaidi...
Mbona unakimbilia neno kodi haramu!!!!!, una uhakika kuwa huo ushuru ni ushuru haramu? au unasema kwa kuwa umejawa na hasira. Mkurugenzi Mtendaji wa H/W ya Kilindi amekupa taarifa ambayo ni rasmi ya kututhibitishia hapa jukwaani JF kuwa Ile kodi ya Mazao iliyokuwa ikikusanywa na hao mgambo ni haramu. Can you prove it?

Vipi wale waliokufa Ulanga, Kilosa Kiteto una maoni gani?
 
Wamolaa,
Ghawizza... wandugu Sisi WaUmini wa kiisilam tunatambulika kwa hadhi yakuwa kugusisha kipaji cha Uso chini ni Uhusiano na Mwenyeezi Mungu hivyo Moula-Karimu anatutambua vilivyo !! Na kwavile siye hungara kama vile hapa tuonavyp NYOTA zilizo angani Siye tumeridhia With RESPECT...
kwa wasiyefahamu.
waweejjah.

Wabeja sn nkoi!

Tutajadili siku ingine! Turudi kwenye mada!
 
Mbona unakimbilia neno kodi haramu!!!!!, una uhakika kuwa huo ushuru ni ushuru haramu? au unasema kwa kuwa umejawa na hasira. Mkurugenzi Mtendaji wa H/W ya Kilindi amekupa taarifa ambayo ni rasmi ya kututhibitishia hapa jukwaani JF kuwa Ile kodi ya Mazao iliyokuwa ikikusanywa na hao mgambo ni haramu. Can you prove it?

Vipi wale waliokufa Ulanga, Kilosa Kiteto una maoni gani?

Mkuu nilipo ona Hiyo hoja ya Mkuu Crabat akisema kodi haramu nikataka kumjibu lkn nikaongopa mihemko ya kiitikadi nikaona niiache!

Ningependa nimuulize ndugu Crabat juu ya swala la kodi! Na nitangulize samahani km ntamkwaza mtu!

Kuna kitabu kinaitwa Islam and Terrorism. Hichi kitabu kuna sehemu Mwandishi anasema Hadithi za Mtume zinafundisha Kwa wale wakristo waliojenga makanisa ktk ardhi za waislam iliwapasa kulipa kodi na Hiyo kodi ilikua inawasaidia ktk Mapambano Yao ya Jihadi!

Sasa ningependa kumuuliza ndugu Crabat Kua Hichi kitu ni kweli kimo ndani ya Quraan?
Na kama kimo, kwanini Hizi kodi ziwe HARAMU Na si zile?

Narudia tena samahani Kwa yeyote Yule ntakae mkwaza! Km Hiki kitu sio sahihi na haimo ndani ya mafundisho ni vema mkaniweka sawa!

Thx!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom