Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
mkuu Mohamed Said unachojaribu kusema hakikubaliki ktk jamii na ni hatari kwa ustawi wa taifa letu huo ni uchochezi zahiri unaoweza kuamsha chuki za kidini na machafuko yake hayawezi kukuacha salama wewe na jamaa zako na taifa kwa ujumla hebu jaribu kuheshimu misingi ya amani na utulivu acha kutoa mada za kichochezi.


kulalamika hakutoondoa ukweli wa mambo yalivyo kuwa.
Labda kama unataarifa tofauti na hizo zilizotolewa mohammed,
maana halisi ya uchochezi ni kuongeza maneno ili kuongeza hamasa upande fulani,na kutia uoga upande mwingine.

nashindwa kujua kwani OPERATIO TOKOMEZA wabunge wameshinikiza mawaziri kujiuzu lakini kwenye hili wanajitia pamba masikioni.
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kwamba mimi ni muislam naona uzi huu haupo kihalisia. Hakuna haja ya kuhalalisha ufedhuli kwa kupitia mgongo wa Uislam. Chiku namfahamu asingelikubali kama mwislam angalikuwa anaonewa. Jamani ndugu zangu tuache kutumia dini kwa manufaa yetu binafsi. Wakristu hawatuonei ila sie ni inferiority complex zinazotuangusha. Karibu Njinjo
 
kulalamika hakutoondoa ukweli wa mambo yalivyo kuwa.
Labda kama unataarifa tofauti na hizo zilizotolewa mohammed,
maana halisi ya uchochezi ni kuongeza maneno ili kuongeza hamasa upande fulani,na kutia uoga upande mwingine.

nashindwa kujua kwani OPERATIO TOKOMEZA wabunge wameshinikiza mawaziri kujiuzu lakini kwenye hili wanajitia pamba masikioni.
huu ni uchochezi mkubwa usiovumilika
 
Mataifa ya kikafiri yamejaribu kutafuta sababu za kuwashambulia waislamu kwa miaka mingi sana.
Na hii sababu hii inayoitwa ugaidi imekuwa inatumiwa kuua na kuingilia ardhi za watu kwa sababu za kuiba mali zao!

Ukiangalia ktk english dictionary maana halisi ya ugaidi utakuta hizo nchi wavamizi na hizo serikali zinazo wanyanyasa waislamu ZINA SIFA ZOTE ZA KIGAIDI!

sasa sijui toka lini GAIDI AKAPIGA VITA UGAIDI!!

Usihukumu Kabla hujahukumiwa!kafili Ndio kusema ww mtakatifu sana au?
 
Kuna kakikundi kadogo ka kiislam kanakopanda mbegu ya waislam kuonewa, mfumo kristu Tanzania na wanafanikiwa kupata waamini wengi. Lakini kuna waislam wengi wanaoijua historia ya dini yao wanamsimamo wao. Imefikia point hata jambazi akiuwawa km amevaa kanzu au barakashia wengi watadai kauwawa sababu ni mwislamu. Gazeti la Jamhuri wali report habari hii vizuri sana baada ya uchunguzi uliohusisha mkuu wa mkoa na RPC wa Tanga. Thread km hizi zina incite vurugu tu na ndo malengo ya hao wanaovaa push Pedo. This is a naked fact mtukane mfanyeje!
 
Jamani nashindwa kuelewa Watz wenzangu!
CHADEMA inasemekana ni Chama Cha kikristo
Na hii serikali inalaumiwa Kua ni serikali ya mfumo kristo!
Hapa ndipo mnaponichanganya.....! Anyway nikiachana na hayo mambo ya siasa na nirudi kwenye mambo ya kiimani!

Jamani ndugu zangu waislamu hii Dhana ya ugaidi ni Dhana ya Muasi dhidi ya ibada ya kweli! Na huu ni mwanzo tu na ktk hili Kwa yule anaemwabudu Mungu Wa kweli hatopona dhidi ya uasi vinginevyo akajifiche mapolini Au kuteswa mpaka kufa Na akiona Mungu hafai basi aukubari uasi! Na katika Hili ata wakristo wale Wa kweli wanaomwabudu Mungu Wa kweli hawatopona ata wale waislam wanaomwamini Mungu kweli lazima wapitie mateso!

Vitabu Au Unabii Wa siku za mwisho Uko wazi kabisa! Someni vitabu na si kulaumu upande fulani! Itafikia hatua Watu watashindwa kununua wala kuuza na wengine kwenda kujificha! Haya yote yatatokea ndio ule mwisho ufike!

Na hili Jambo litasukumwa na USA na ulaya Na wataitawala Dunia na kupitisha sheria zao na mambo Yao!

Mimi ni mkristo nalijua hili km litanikuta nikiwa hai lazima kuteseka Au kujificha! Au kumsujudia MUASI!
 
Ugaidi ni neno baya ambalo Makafiri (wakiristo) wa mataifa ya Ulaya na Amerika wamelipachika na kuwabandika waislam ulimwenguni kwa kuwachukia tu., lakini kama utafanya tathmini ya mataifa yanayovunja haki za binadamu kuuwa watu ulimwenguni Marekani ni No.1, wameuwa kwa mabomu kule iraq, Afghanista, Pakistan na saivi wanaitaka Syria na Irani, wao vita yao siku zote ni against nchi za kiislam ulimwenguni mawazo yao na fikra zao kuutokomeza usialm usiende mbele jambalo ambalo haliwezekani.,

Lazima mpigwe tena bado,eti wakristo makafiri hao ni watakatifu wa mungu,peleken ugaidi wenu huko Tanzania ni nchi ya aman mnataka kuiharibu kwa kusingizia et mnaonewa...
 
Siku waislamu watakapopinga makundi kama boko haram, alshababu na wengineo mtaonekana dini yenu haina mafungamano na ugaidi.
Acheni kujilipua kwa jina la allah
 
Ushenzi kama huu wakifanyiwa Waislam huwa hakuna tatizo, sasa hivi ukitaka kuwapiga Waislam wewe weka tag ya ugaidi unaruhusiwa hata kuwaua.
lakini mkuu hiki alichoandika mohamed unakiamini?
 
huu ni uchochezi mkubwa usiovumilika


sisi tunaoingia kwenye jukwaa hili tunapenda kupata habari za uhakika, sasa kama utaishia kulalamika bila kuleta taarifa inayopinga hii haito saidia na watu watakao kusikiliza wote hawastahili kuwepo kwenye hili baraza la home of great thinker.

na niseme kwamba wewe unaweza ukawa ndio mchoche kwa ku reflect in wrong aspect habari iliopo.
 
Kuna Uzi Wa THE BIG SHOW unazungumzia Jambo km hii ila wenyewe Uko kimataifa!

Lakini ni vema kusoma maandiko na kujua Yale yatakayotokea hapo badae, na vitabu viko wazi kabisa tena si kulaumiana Au upande Fulani kulaumu upande Fulani!
 
sisi tunaoingia kwenye jukwaa hili tunapenda kupata habari za uhakika, sasa kama utaishia kulalamika bila kuleta taarifa inayopinga hii haito saidia na watu watakao kusikiliza wote hawastahili kuwepo kwenye hili baraza la home of great thinker.

na niseme kwamba wewe unaweza ukawa ndio mchoche kwa ku reflect in wrong aspect habari iliopo.
mkuu mimi sielewi dhana ya mfumo kristo....faida zake na jinsi unavyofanya kazi je chiku galawa ni mwislamu jee anaweza kufanyia dhulma waislamu wenzie?
 
Ushenzi kama huu wakifanyiwa Waislam huwa hakuna tatizo, sasa hivi ukitaka kuwapiga Waislam wewe weka tag ya ugaidi unaruhusiwa hata kuwaua.

Kwa hiyo magaidi yaachwe yatambe tu yatakavyo? Huko Iraq magaidi yameua Wakristo yamechoka mpaka yanauana menyewe kwa menyewe misikitini! Once a terorist always a terorist!
 
Chuki inaletwa na hao wanao wauwa na kuwanyanyasa waislamu kutokana na imani yao.
Ingefaa sana kama wewe ungepeleka ushauri huu serikalini. Kule ambako MFUMO KRISTO UMETAWALA!
Na kwa uwezo wa Mungu iko siku dhulma tunayofanyiwa na hao makafir itabaki kuwa ni historia tu!
We yangelikukuta haya sidhani kama ingesema ulioandika hapo juu!
Lkn hao maskini hawakuhusu ndio sababu ukaita ni uzi wa chuki!

Mkuu Kahtaan na Mohamed Said ninge waomba tuangalie maandiko kwanza kabla ya kutupia lawama upande mwingine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom