FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hivi wewe gaidi mambo ya Bavicha yameingiaje hapa....Unalaana
Laana unayo wewe usiyejijuwa wala usiejielewa. Hakuna aneweza kuja humu akatoa matusi zaidi ya bavichaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe gaidi mambo ya Bavicha yameingiaje hapa....Unalaana
Dini zote zinazohubiri kwamba kuna moto baada ya kufa zinahubiri ugaidi.
Lazima mpigwe tena bado,eti wakristo makafiri hao ni watakatifu wa mungu,peleken ugaidi wenu huko Tanzania ni nchi ya aman mnataka kuiharibu kwa kusingizia et mnaonewa...
Mzee Mohammed Said na waislam wote nawapeni pole.Pole yangu naitoa iwapo tu tukio hilo ni la kweli lakini hata kama si la kweli bado nitaendelea kuwapa pole waislam kwa kuubeba huu mzigo wa "ugaidi" iwe wanataka au hawataki.Hii ni perception inajengwa duniani kote na watu waislam na wasio waislam kutokana na matendo ya watu fulani wanaojiita waislam na watu fulani wanaojiita anti terrorist experts(U.S n.k).Sijafahamu kama nyinyi waislam mnaujua ukubwa wa tatizo hili lakini mie naliona kubwa sana.Unapogusia jambo linalohusu mamilioni ya watu duniani si jambo dogo hilo na hatupaswi kuliongea kwa maskhara kama wafanyavyo baadhi ya watu hapa.Huwa nakuwa mwangalifu na mambo ya uislam kwa kuwa najua katika kizazi chetu hiki,hata kama ni kwa lazima bila kupenda,kuna uhusiano wa karibu kati ya uislam,ukristo na uyahudi.Wakati sie wenye dini hizi tukipambana kwa doctrines,wapo watu ambao wao ndani ya mioyo yao hawapendi dini hizi zote.Naamini ni kutokana na historia ya dini hizi huko nyuma kutumika kama tool ya kumkomboa mwanadamu toka kwenye mikono ya watawala waovu na hata kuangusha tawala kubwa sana duniani ndio maana hivi leo dini hizi zimewekewa "jicho" ndani yake na nje pia,kwa kudhibiti leadership system yake na hata ikibidi doctrines na tafsiri zake ili ziendane na matakwa ya kitumwa ya wakuu wa dunia hii ambao hujitukuza zaidi ya Mwenyezi Mungu na hapa ndipo ugomvi wetu wanadini na hawa watu unapoanzia.Hivyo kwa mwanadini yeyote kati ya hizi tatu,atakuwa alerted na matatizo ya mojawapo ya dini hizi kwa sababu ya huyu common enemy tuliye naye.Ipo silaha moja kubwa ya kupambana na kashfa na kusingiziwa.Silaha hii ni "kuwajibika kujisafisha" kwa kukaa kwenye kile unachoamini na kukitekeleza kwa uwazi ili watu waone uhalisia wako tofauti na vile unavyozungumzwa.Katika biblia takatifu,kitabu cha imani yangu, kuna fungu linasema hivi,"Having your behaviour seemly among the gentiles,that wherein they speak against you as evil-doers,they may by your good works,which they behold,glorify God in the day of visitation."(1peter 2:12).Katika biblia ya kiswahili inasema hapo,"Muwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa,ili,iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya,wayatazamapo matendo yenu mazuri,wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa."Je,katika uislam lipo suala kama hili la muumini kuwajibika kwa maneno na matendo kuonyesha ukweli na uhalisia wa dini yake ili jamii inayozunguka hata kwa wale wasio waislam,wafanye right judgment na kujengewa mtazamo sahihi juu ya uislam?kama jibu ni ndio,swali langu kuu linakuja kwako mzee wangu,nyinyi kama waislam,mnalichukuliaje tatizo la ugaidi na mnafanya juhudi gani kujisafisha na kuutenganisha uislam na shutuma hizi ambazo ulimwengu unaaminishwa hasa tukizingatia kuwa wapo watu wanaojiita waislam na wanatumia jina la uislam kufanya ugaidi(na watu huona damu ya ndugu zao ikimwagika kwa jina la uislam) situation ambayo inaleta legitimacy ya watu kuuhusisha uislam na ugaidi?na katika hili mzee wangu ukumbuke kuwa ni rahisi mbaya wako kutafuta "wajinga" ndani ya nyumba yako ili akumalize na kusema nyumba ile wote wajinga,unafanyaje hapo mzee wangu?kwa ujumla nauliza waislam mkiwa kama watu wenye responsibility ya kwanza kuilinda,kuitetea na kuitangaza dini yenu,mnafanya juhudi gani kuutenganisha uislam na huu "uzushi" wa ugaidi?
Mwenye Nguvu mpishe.Huoni hata Tanzania wenye Pesa wanavyopeta?
Hii ni Vita Dhidi ya UGAIDI na MAGAIDI.Kama unaona ni Vita dhidi ya Uislamu Jaribu kulianzisha uone Moto wake.Mwenzio Shekh Ossama alitamani ardhi ipasuke.
Mafinyofinyo,
Kweli magaidi lazima wapigwe.
Lakini hao wana vijiji wa Madina na vijiji vya jirani hawakuwa magaidi.
Kama upo ushahidi wa ugaidi na uletwe uonekane.
Waliouliwa wamezikwa kimya kimya na waliobaki wamefunguliwa mashtaka
mahakama ya Handeni.
Katika mashtaka yao hakuna kosa la ugaidi.
Sheikh Chambuso anajulikana kama mwalimu wa madras Tanga.
Yeye shitaka lake ni kama nilivyoeleza awali.
Sheikh Chambuso kafunguliwa kesi ya ''kushawishi mauaji.''
Dhulma kama hizi zinasikitisha sana na hazitajenga taifa letu bali
kuleta chuki.
Kwa ajili hii tunapochangia mjadala kama huu ni muhimu sana kuwa
makini.
Gaidi anaweza kuwa wa dini yoyote. Tatizo ni kuwa akitokea gaidi ambaye ni muislam, wengi wenu ama mnakataa na kudai kuwa huyo muislam hahusiki, au mnahalalisha aliyoyafanya kwa kudai anapigania haki.fulani na mara nyingi mtampa "a hero status" . Mara moja moja, ushahidi ukiwa mkubwa, mnajaribu kum-dissociate huyo mtu na uislam.
Labda nikuulize Mohamed Said, kuna makundi kama ya alshabab, boko haram, abusayyef, alqaeda, na jamaat islamiya. Ushahidi upo mwingi tu wa makundi haya kijihusisha na ugaidi. Lakini je kuna kundi ambalo wewe binafsi unakubali kuwa ni la kigaidi?
Ndani ya moyo wako humanishi ugaidi wala humaanishi wapigwe magaidi bali wapigwe waislam lakini yalifanyika nigeria sieralone cameroon afrika ya kati yalifanyika mali na sehemu nyengine haya ya kuwadhulumu waislam..na hakika waislam ni wastahamilvu sana ni wavumilivu sana kwani wanambiwa Innalahha maasabiriin...basi sisi tunavumilia lakini pia tunafundishwa tusidhulumu nafsi wala mali ya mtu. Lakni pia tunafundishwa tusikubali kudhulumiwa.hivo tunapolalamika musione tu wajinga.Magaidi lazima yapigwe kwa nguvu zote! Haijalishi ni waislamu au watu wa dini nyingine. Wapigwe tu tumechoka. Nasema wapigwee tu..!
Haitwi ossama. Bali ni SHEIKH OSAMA MWANA WA LADEN!
Ametingisha mataifa zaidi ya 50 ya makafiri!
Kawarudisha makafiri kwenye body bags kwa maalfu!
Ni one man army! Wamepiga kila kona ya afghanistan na Pakistan kwa zaidi ya miaka zaidi ya 10 na ziada lkn wapi!
Kwa hio unapotaka jina lake MPE HESHIMA yake!
Dude, what are your view on preventing terrorism?
Hakuna zaidi ya matusi, bavichaa mnajulikana.
Uislaam umewakosa nini nyinyi? mbona mna chuki hivi za kijinga?
Mkuu kabla hajajibu ndugu Mohamed Said Hilo Swali ningependa tukaweza kufahamu nini harakati za hayo makundi Je wanatetea nini? Au wanafanya vurugu tu?
Nimeona tujue harakati zao kwanza ili huu mjadala uwe mpana Zaidi!
Nani mbunge wa sehemu hiyo?,kwanini watu wameuawa halafu issue imeisha kimyakimya kama kwamba wameuawa kondoo?
Mbunge mkristo hatowasaidia.na hili tayizo jengine la waislam bado tunaendelea kuwachagua hawa !! Lazima tubadilike iwe fundisho sehemu za waislam kuwa na mbunge mkristo hatawasaidia hata siku mojaElungata,
Mbunge ni Beatrice Shelukindo.
In Sha Allah tunategemea iko siku atazunguza si yeye tu bali wote
waliohusika na dhulma hii.