Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
Mkuu Kahtaan,
Naelewa ndugu CHAMVIGA na Bilal bin Rabah wametingwa na majukumu ya kila siku! Kuna Maswali niliuliza hapo nyuma pamoja na ndugu Juve2012 Km utaweza kutujibu tusaidie au Km hutoweza tuendelee kua na subira mpaka pale Bilal bin Rabah au CHAMVIGA watakapopata nafasi!

Thx!
 
Unajua Mkuu Mimi mara nyingi hutumia simu kutoa hoja na inanifanya nisiweze kutoa maelezo mengi! Lkn Nina mambo mengi ambayo ningeweza kueleza!

Nikushukuru sn Mkuu kwa kujazia hapo! Unajua kuna nudugu mmoja alipinga USA kutawala Dunia kwa sababu za ushoga na kutokuzaliana etc! Na hakutoa andiko ata moja! Nafikiri alikua ndugu Crabat Km sikosei au Elungata ndio alietoa hayo maelezo!

Nataka nimwambie kua USA itatawala Dunia na itageuka na kuungana na Roma na kuwatesa watu Wa Mungu Km ilivyokua zamani kwa roma ya kipagani! Kwa mujibu Wa bible!

Umetoa history ambayo iko sawa na hicho kisa cha wafaransa kumteka Papa Piusi na akafia jera hiyo iko sawa!

Labda Km ataweza Huyo ndugu atupatie andiko toka ndani Quraan ambayo inasema kua USA haitotawala Dunia tuone inakuaje na huko!

Asante sn Mkuu!

kuongezea hapo tu ni kwamba mie nadhani Roman empire practically tayari inatawala dunia bado tu official declaration.Ni viongozi wangapi duniani wanapewa madaraka kwa masharti ya Rumi hivi sasa?wengi sana.Hiyo U.S yenyewe karibu "wakubwa" wa huko wengi ni knights of malta iwe wanasiasa au wafanyabiashara wakubwa.Labda hii kitu ndio wenzetu wanaita "mfumo kristo" maskini Mungu awasamehe hawajui ni "mfumo shetani" uliojiweka kwenye hekalu la Mungu na wakristo wenyewe washaumizwa vibaya,wanahangaika kujikomboa toka huu mfumo ndio maana dini lela,madhehebu alfu lela!anyway,tuache hayo yako nje ya topic, tusubiri majibu yetu.
 
Ndani ya waislamu wapo wanafiki ambao wanauangusha uislamu,mtoa mada umezungumzia jambo hili kwa ukweli na ufasaha,mimi mwenyewe niko tanga ukweli ndio huu.hapa kulikua na chuki tu dhidi ya uislamu,hata Rc mwenyewe wa tanga hakutenda haki,najua uzi huu utaondolewa mapema na wengi watakaochangia kwa chuki watakua ndo walewale wenye chuki na uislamu.hivi serikali inawajua magaidi? Hapa kilichofanyika ni kuwasambaratisha waislamu tu hakuna kingine.

Sasa serikali inayoongozwa na waislam iwasambaratishe waislam kwa vile inawachukia tena kwa kutumia jeshi linaloongozwa na said mwislam mwenzao!!!Hii mbona sielewi kabisa mnachoongea?au ndo ile mkeo anawafinya wanao ili mpate sababu ya kumshambulia mtu mnayemchukia kwa kisingizio kwamba alikuwa anamshawishi mkeo kufanya hivyo kwa vile watakaofinywa sio watoto wake!Kama ni hivyo mbona naona hila mnazitengeneza wenyewe na mnanyanyasana wenyewe halafu mnamlalamikia mtu mwingine ili awajibu mpandishe mizuka yenu inayotaka damu za watu siku zote?!Huu ndio ushetani tunaoukataa

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Teh teh teh teh!
I'm right here booty shaker!!
Boot-shaker ni babako mzazi.
Sweetheart dont give me a new name!
I've got one already.
I told you before I am a married man. And I hate bumbum business.
U r in denial, hata kama haupo sasa siku ukifa shurti tukuinamishe na kuzamisha mkono huko tigoni kwako.
Try Nyenyere I'm sure he will have yours with Pleasure!

If you have a sister may be she can be my number 4th wife. Cause I gat a lot of energy for dat tings man!
My sisters are Muslim like you, but much much smarter and sensible..na walishaahidi kutokamuliwa kinyesi siku wakiaga dunia. Na pia walishaahidi kutoolewa na mashoga kama wewe.

Me looooov galatians ladys to take them 4 aride! (But you know! in halal way)!
Until they call out loud" yesu wangu eeee"
Nobody asked you, hata sie tusiokamua maiti mav.i mbona tunakamaua mabinti wa kisilamu na hatusemi? kama mwaka mpya huu nimeshaeka itinerary kuzindua mwaka na kabinti kamoja hapa mtaani.not that much of a big deal nways.

But.that 0713 of yours stinks man!
Me dont wan dat at all.

And if ya aks me again me call da cop's!

You sik bumer!

Teh teh teh teh teh!
Well we tIGO yako lazima itinduliwe tu whether you like or not..dead or alive. That is the difference btn me & you same-loving homo.
 
Thing is I've much better things to do than conversing with a fagging homo/

Mkuu hua unapigwa kavu au na condom? Mkuu angalia magonjwa mengi siku izi. Nakushauri tafta m'baba mmoja tu akulee achana na vijana watakuchafua tu
 
Sasa serikali inayoongozwa na waislam iwasambaratishe waislam kwa vile inawachukia tena kwa kutumia jeshi linaloongozwa na said mwislam mwenzao!!!Hii mbona sielewi kabisa mnachoongea?au ndo ile mkeo anawafinya wanao ili mpate sababu ya kumshambulia mtu mnayemchukia kwa kisingizio kwamba alikuwa anamshawishi mkeo kufanya hivyo kwa vile watakaofinywa sio watoto wake!Kama ni hivyo mbona naona hila mnazitengeneza wenyewe na mnanyanyasana wenyewe halafu mnamlalamikia mtu mwingine ili awajibu mpandishe mizuka yenu inayotaka damu za watu siku zote?!Huu ndio ushetani tunaoukataa

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Bongoni mwako wenzio wana akili japo haziwakidhii haja zao,
Lakini wewe bongoni mwako umejaza mate na kamasi,

Wataka niambia kila mkirisito ni muumini ama anaujua ukirisito au jina tu linamtosha kuujua ukirisito wake?

Vivyo hivyo basi hata hayo majina ya viongozi wa Kiislaam yasikushughulishe hamna kitu hapo,

Wangelikuwa Waislaamu by means Islam, huo utumbo utumbo usingelikuwepo,

Na sisi ufahamu hatutaki huruma bali twataka haki tu itendeke ama iwe wazi,
Only that we need.
 
Mkuu hua unapigwa kavu au na condom? Mkuu angalia magonjwa mengi siku izi. Nakushauri tafta m'baba mmoja tu akulee achana na vijana watakuchafua tu
Unaonaje ukampa ushauri huo babako mzazi? nasikia umerithi kutoka kwake mchezo huo wa kutifuliwa K zenu za mgongoni/
 
Ni vigumu kutofautisha kati ya muislam na gaidi,maana ugaidi na uislam ni pande mbili za shiling moja,kwa hyo kupambana na ugaidi ni lazma kupambana na uislam.

Mnataka na sisi tupambane na wakristo wa Tanzania? Sawa?
 
Mkuu hua unapigwa kavu au na condom? Mkuu angalia magonjwa mengi siku izi. Nakushauri tafta m'baba mmoja tu akulee achana na vijana watakuchafua tu

Teh teh teh
Mkuu unanivunja mbavu huku!😀😀
 
Abdulhalim ahmed deedat na kahtaan try to behave please!tumo watu wazima humu tunafuatilia mjadala nyie mnatukanana hadharani ndio ustaarabu mliofundishwa na wazazi wenu na dini zenu?dah!hawa watoto wetu wa siku hizi!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hua unapigwa kavu au na condom? Mkuu angalia magonjwa mengi siku izi. Nakushauri tafta m'baba mmoja tu akulee achana na vijana watakuchafua tu

Eee teh teh teh teh!
Basi tena mkuu!
Hii balaa tayari.
Mi namuonea huruma huyu mbuzi
 
Last edited by a moderator:
Boot-shaker ni babako mzazi.

U r in denial, hata kama haupo sasa siku ukifa shurti tukuinamishe na kuzamisha mkono huko tigoni kwako.
My sisters are Muslim like you, but much much smarter and sensible..na walishaahidi kutokamuliwa kinyesi siku wakiaga dunia. Na pia walishaahidi kutoolewa na mashoga kama wewe.

Nobody asked you, hata sie tusiokamua maiti mav.i mbona tunakamaua mabinti wa kisilamu na hatusemi? kama mwaka mpya huu nimeshaeka itinerary kuzindua mwaka na kabinti kamoja hapa mtaani.not that much of a big deal nways.


Well we tIGO yako lazima itinduliwe tu whether you like or not..dead or alive. That is the difference btn me & you same-loving homo.


Mkuu tafadhali sn!
Tunajadili vitu vya msingi sn! Km unaona haya tuyajadiliyo hayakufai sio lazima uchangie! Zaidi naona unataka kuhatarisha Uzi wetu ufungwe!
Tafadhali nakuomba uwe mstaarabu!
 
Mkuu hua unapigwa kavu au na condom? Mkuu angalia magonjwa mengi siku izi. Nakushauri tafta m'baba mmoja tu akulee achana na vijana watakuchafua tu

Mkuu nakuomba tafadhali msifanye Uzi wetu uwe ktk hatari ya kufungiwa! Km hamuwezi kua wastaarabu tuachieni Uzi wetu!
 
Eee teh teh teh teh!
Basi tena mkuu!
Hii balaa tayari.
Mi namuonea huruma huyu mbuzi

Mkuu usipowajibu unaathirika na nini?

Tafadhali nakuomba waache! Zaidi naona Km utawajibu huu Uzi utakua hatarini kufungwa kitu ambacho Mimi binafsi sikipendi kwani tumetoka mbali na huu Uzi tukijadili vitu vya msingi bila maudhi kwa mtu yeyote!
 
Mkuu usipowajibu unaathirika na nini?

Tafadhali nakuomba waache! Zaidi naona Km utawajibu huu Uzi utakua hatarini kufungwa kitu ambacho Mimi binafsi sikipendi kwani tumetoka mbali na huu Uzi tukijadili vitu vya msingi bila maudhi kwa mtu yeyote!

Mkuu ntuzu matusi wamezidisha mno!
Na ukiwaacha wanazidi!
Na mods wanaona lkn kimya
 
kuongezea hapo tu ni kwamba mie nadhani Roman empire practically tayari inatawala dunia bado tu official declaration.Ni viongozi wangapi duniani wanapewa madaraka kwa masharti ya Rumi hivi sasa?wengi sana.Hiyo U.S yenyewe karibu "wakubwa" wa huko wengi ni knights of malta iwe wanasiasa au wafanyabiashara wakubwa.Labda hii kitu ndio wenzetu wanaita "mfumo kristo" maskini Mungu awasamehe hawajui ni "mfumo shetani" uliojiweka kwenye hekalu la Mungu na wakristo wenyewe washaumizwa vibaya,wanahangaika kujikomboa toka huu mfumo ndio maana dini lela,madhehebu alfu lela!anyway,tuache hayo yako nje ya topic, tusubiri majibu yetu.

Mkuu unachosema ni kweli kabisa! Rumi bado tu kutangaza! Na ukitaka kujua kua wananguvu kila Kiongozi duniani lazima aende Vatican kumuangukia au kumsalimia Pope kwa kumbusu! Hasa Yale mataifa makubwa yenye nguvu lazima waende! Na huu mfumo unafanya kz taratibu ila hapo baadae itakua amri na sheria kutii hiyo mamlaka! Ukisoma kitabu cha Daniel kunazia 7 na kuendelea na ufunuo utayapata haya!

Ndugu zangu Hawa ni Km adui wao hawamjui maana huko nyuma nimewauliza sn adui yenu ni nani? Niwambia sn juu ya Muasi na ibada ya kweli lkn nikawa naona Km wanapwaya ivi! Nikawauliza kua hapo nyuma walipigana na tawala gani iliyokua inatawala Dunia? Sikupata majibu! Lkn lengo langu lilikua ni kuwaonesha adui Yao kua Yule Wa zamani na ndio Huyo tena anarudi taratibu! Adui Yao sio serikali Wala mfumo ktisto! Adui Yao ni shetani dhidi ya ibada ya kweli! Ilifikia hatua nikasema naona unabii unapwaya! Maana unaona watu wanakuja kwenye point ya kumpata adui then tena anapotea!

Namshukuru sn Mkuu CHAMVIGA na wewe pia ktk kuweka michango mizuri na yenye kumuelezea kwa uwazi adui wetu!

Naelewa wengi unabii una shida sn kujifunza na kuelewa!
Huu mfumo Wala sio mfumo Kristo au sio kitu cha kuichukia serikali! Hili Jambo ni ibada ya kweli dhidi ya Muasi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom