Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Eti umesema?Mambo mengine mnajitakiaga wenyewe tu. Zei a noti nesesare [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti umesema?Mambo mengine mnajitakiaga wenyewe tu. Zei a noti nesesare [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
Waliosoma PCB na PCM washaelewa...!!!Mkuu samahani lakini, point umezificha sana.
Kuna watu wanafaidi sanaa hii dunia..!!!Hapo mwisho kumbe mzee anapumzika pale halafu akawa anazuga, eti watu wa pwani wamelala sana?😀😀
Mzee nae yuko vizuri navuta picha akiwa chumbani na mbebe🤣
Jela nomaa baharia...Point ya kila mtu akalale kwake nimeielewa,
Mambo ya Hussain machozi hatutaki,
Naona unaogopa kumpeleka ghetto, ili usije kufanyiwe surprise attack? 😂😂
Hiyo kula ni morning, lunch, dinner = @5,000/= × 2 peoplesSijaelewa kwanini mpaka sasa hivi hakuna aliyekanusha kwamba hizo gharam zilizopigwa siyo applicable kwa wote.
Tukiwa serious tukauliza wanawake 10 na wanaume 10 waelezee experience yao ya guest, shukrani, chakula n.k nafikiri watakaokaribia nusu na robo ya hii gharama hawatazidi 4.
Hizi gharama ni unrealistic in every way like huwezi kumlipa 30K na kumhudumia chakula na nauli and probably ukaishia kwenye K tu wakati for the same amount minus kula na nauli na hizo gharama nyingine unakuta kuna binti mwenye sifa kama hizo anajitangaza anakuuzia K na ndogo.
Nimemaliza na kauli mbiu ya LIVERPOOL.Kichwa na point umemaliza hapo chini, kule juuu ulikuwa unatuandaa tuu, kimsingi hata ungekuwa ww usingekubali mtu umempa cheo anajeuka anakula mchepuko wako na tena ulishamuonya kuhusu huo mchepuko lakin hakusikia
You Never Walk Alone.Hivi hii maana yake nini?
Gharama zinaongezeka zaidi...Guest room fanya 20,000 hadi 25,000 mkuu
Hatutafuti hela kwasababu za mbunye zilizo huko mtaani...Utakua hujui kwann wanaume tunatafuta hela pole Sana
Dah hii dunia haina haki...Mwenyewe nilihisi ipo namna, kumbe mkulungwa aligongewa na Deiwaka aliemkabidhi kitengo yeye mwenyewe. 🤣🤣🤣
Lile Toto la kibantu rangi ya ndizi kisukari! Lazma ulinzi uwe mkali chakula ya Muzee!
Na kunyimwa pia...Usisahau kuwakumbusha kuwa kuna masimango sometimes!
Dah Baharia UMENI TOUCH SANAA...Hatari saana aisee! Ndiyo pale unarudi getho unaiwazia laki yako ilivyokwenda kishamba, unajipiga kifuani unasema mimi ni fala sana ila nitapata nyingine!
Chini nimemalizia na Kauli mbiu ya mabingwa wa dunia.[emoji23][emoji23][emoji23] lengo la thread yako ni hapo chini ulipomalizia, ila kule juu n mbwembwe tyuuuuh.
Ukifanya hizi mambo kwa kuangalia opportunity cost basi utakua padre.!!!Hivi hizo paragraph mbili za mwisho zinaukweli wowote!!! 115,000/= ni sawa na tofali 96 hapo kwenye opportunity cost bora kujenga tu, hizo nyingine tutatafuta substitute product Sinza
Ila mbunye inautamu Fulani hivi amaizing japo ni utamu wa sekunde...La muhimu ikija suala la burudani ya papuchi spare no expense. Ndio starehe ya dunia. Ebu imagine unamihela alafu huwezi kugegeda sasa maisha yana raha gani hapo
....refer to the OPPORTUNITY COST.Y
Yaani a man,upo hapa unajadili gharama za upigaji pussy kweli?
Sasa ulitaka upigie migombani au njiani au kwenye magari?
Maana hata kama utapigia kwako,gharama zingine zipo pale pale..
Naona watu watafute hela aisee,tuache haya malalamiko!
Kama uchumi wako haujafika popote,usijishughulishe na haya mambo,hela ikifika then ufanye!