Kweli Urusi haiwajaligi wanajeshi wake

Kweli Urusi haiwajaligi wanajeshi wake

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Ukraine imeomba wabadilishane wafungwa, maana pia Ukraine imewashikilia wanajeshi wengi wa Urusi, lakini Urusi wamegomea mpango huo wakidai lazima wawamalize wanazi. Sasa ni vip hatma ya wanajeshi wake ,huku tukishuhudia wakianza kusomewa mashtaka ya uhalifu wa kivita?
Russia wanawajali kweli wanajeshi wake?

Pili Ukraine imetoa picha za miili ya askar wa Urusi waliouwawa wakitaka kama ndugu zao wanawatambua waje kuwachukua kabla hawajazikwa kama mbwa maana Urusi wamegoma kuchukua maiti za jeshi lake ,nahisi wanahofia kupoteza credibility kwa wananchi wake kama mnavyojua serikali za kidictetor.

Unaweza kupitia CNN, Al-jezeera
 
Hao watakua reported as missing. Kuwarudisha urusi itapunguza Imani na kuungwa mkono dicteta
 
Sina upande lakini nina mashaka na source of information ya hi habari; kwamba CNN inaweza kuripoti jambo lolote zuri kutoka Urusi hasa kwa hili SAGA linalo endelea??? I doubt
 
Zelensky kaupiga mwingi, kwani sasa ni mwenendo wa kuzipiga hizo maiti picha na kuzirusha mitandaoni ili ndugu zao wazione na wajue kuwa Putin amekataa miili hiyoirudishwe Moscow
Hata wakipiga picha URUSI hawana mitandao ya kijamii zaidi ya taarifa kutoka upande mmoja TU wa serikali.

Yaani Urusi kuna TBC1, TBC Taifa na TBC FM TU.

Putin anaupiga mwingi sana.
 
Ukraine imeomba wabadilishane wafungwa, maana pia Ukraine imewashikilia wanajeshi wengi wa Urusi, lakini Urusi wamegomea mpango huo wakidai lazima wawamalize wanazi. Sasa ni vip hatma ya wanajeshi wake ,huku tukishuhudia wakianza kusomewa mashtaka ya uhalifu wa kivita?
Russia wanawajali kweli wanajeshi wake?

Pili Ukraine imetoa picha za miili ya askar wa Urusi waliouwawa wakitaka kama ndugu zao wanawatambua waje kuwachukua kabla hawajazikwa kama mbwa maana Urusi wamegoma kuchukua maiti za jeshi lake ,nahisi wanahofia kupoteza credibility kwa wananchi wake kama mnavyojua serikali za kidictetor.

Unaweza kupitia CNN, Al-jezeera
Unafikiri russia hawana akili kama wewe!!....
 
Ukraine imeomba wabadilishane wafungwa, maana pia Ukraine imewashikilia wanajeshi wengi wa Urusi, lakini Urusi wamegomea mpango huo wakidai lazima wawamalize wanazi. Sasa ni vip hatma ya wanajeshi wake ,huku tukishuhudia wakianza kusomewa mashtaka ya uhalifu wa kivita?
Russia wanawajali kweli wanajeshi wake?

Pili Ukraine imetoa picha za miili ya askar wa Urusi waliouwawa wakitaka kama ndugu zao wanawatambua waje kuwachukua kabla hawajazikwa kama mbwa maana Urusi wamegoma kuchukua maiti za jeshi lake ,nahisi wanahofia kupoteza credibility kwa wananchi wake kama mnavyojua serikali za kidictetor.

Unaweza kupitia CNN, Al-jezeera
Zelensky anakiuka misingi ya Geneva convention . Haipaswi kupiga picha miili. Mwandishi ndio maana upo Buguruni saizi na sio ikulu. Ikulu inataka upime mambo kwa ukubwa wake.

Hao Ukraine wataongea kwa kutapatapa maana hao mateka wapo kwa KGB wanabinywa watoe taarifa kadha.Pia wanachunguzwa uraia wao kwa kupimwa DNA sio jambo la huruma .Serekali haina mambo ya huruma .

Zelensky amewashitaki mateka na Russia amewashitaki hawa magaidi wa kiwandani.

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Zelensky anakiuka misingi ya Geneva convention . Haipaswi kupiga picha miili. Mwandishi ndio maana upo Buguruni saizi na sio ikulu. Ikulu inataka upime mambo kwa ukubwa wake.

Hao Ukraine wataongea kwa kutapatapa maana hao mateka wapo kwa KGB wanabinywa watoe taarifa kadha.Pia wanachunguzwa uraia wao kwa kupimwa DNA sio jambo la huruma .Serekali haina mambo ya huruma .

Zelensky amewashitaki mateka na Russia amewashitaki hawa magaidi wa kiwandani.

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
We kidogo ni mrusi unayejitambua
 
Ukraine imeomba wabadilishane wafungwa, maana pia Ukraine imewashikilia wanajeshi wengi wa Urusi, lakini Urusi wamegomea mpango huo wakidai lazima wawamalize wanazi. Sasa ni vip hatma ya wanajeshi wake ,huku tukishuhudia wakianza kusomewa mashtaka ya uhalifu wa kivita?
Russia wanawajali kweli wanajeshi wake?

Pili Ukraine imetoa picha za miili ya askar wa Urusi waliouwawa wakitaka kama ndugu zao wanawatambua waje kuwachukua kabla hawajazikwa kama mbwa maana Urusi wamegoma kuchukua maiti za jeshi lake ,nahisi wanahofia kupoteza credibility kwa wananchi wake kama mnavyojua serikali za kidictetor.

Unaweza kupitia CNN, Al-jezeera
Urusi haijawahi kuwajali wanajeshi wake, maiti nyingi wamezitelekeza ukraine zilizagaa sana hawakuwahipo kufanya mpango kuwapelekea jamaa na ndugu zao kuwatambua, juzi walikufa 1000 wakijaribu kuvuka mto kuingia ukraine wakaingia kwenye mtego na mavifaru yao karibu 56 nyanga nyanga
 
Zelensky kaupiga mwingi, kwani sasa ni mwenendo wa kuzipiga hizo maiti picha na kuzirusha mitandaoni ili ndugu zao wazione na wajue kuwa Putin amekataa miili hiyoirudishwe Moscow
Mbona tayari juzi picha zimetumwa russia, ni vilio tu mkuu
 
Ukraine imeomba wabadilishane wafungwa, maana pia Ukraine imewashikilia wanajeshi wengi wa Urusi, lakini Urusi wamegomea mpango huo wakidai lazima wawamalize wanazi. Sasa ni vip hatma ya wanajeshi wake ,huku tukishuhudia wakianza kusomewa mashtaka ya uhalifu wa kivita?
Russia wanawajali kweli wanajeshi wake?

Pili Ukraine imetoa picha za miili ya askar wa Urusi waliouwawa wakitaka kama ndugu zao wanawatambua waje kuwachukua kabla hawajazikwa kama mbwa maana Urusi wamegoma kuchukua maiti za jeshi lake ,nahisi wanahofia kupoteza credibility kwa wananchi wake kama mnavyojua serikali za kidictetor.

Unaweza kupitia CNN, Al-jezeera
Hujui kitu mweupe peeee
 
Back
Top Bottom