FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
- #201
kawaida mtu anapokosea inawezekana haelewi au kuna kitu kimemsukuma kufanya jambo ambalo halikubaliki kwa mwenzake na yey akaona ni sahihi kwa wakati huo hivyo ni lazima kumweleza nini na wapi alipokosa ..
haaaaaaaaaa hivi mtu mzima na meno 32 aliyeamua kwa ridhaa yake mwenyewe kuoa ,na hatimaye kumwacha wife na kuelekea anapokujua na nyumba ndogo ,huyo ndo wa kusema umweleweshe alipokosea dah napata kigugumizi...sipati picha kamili