Watakuwa wameanza mdogo mdogo.Sasa kwa uchache wake si ni foleni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wameanza mdogo mdogo.Sasa kwa uchache wake si ni foleni sana
Sorry [emoji20] mkuuLeo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.
Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.
Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.
Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.
Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuvuruga.
Akita atm bado kadi inamezwa ni majanga tuKwanini usitoe ATM?
Kuingia CRDB sawa na kuingia MOCHWARILeo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.
Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.
Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.
Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.
Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuvuruga.
Duhh
hamia mkombozi bank au akiba commercial ule raha!! unaingia kuchukua hela dakika 3 nyingi unachomoka!!Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.
Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.
Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.
Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.
Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuvuruga.