Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mkuu ningekuwa joka la kibisa ningeweza kumiliki vifaa vinne vikali namna hii? Nyie watu kusoma mmeshindwa hata picha zinawashinda?Kwahiyo unataka kuuthibitishia ulimwengu kwamba Asprin ni joka la kibisa, au unataka kusemaje, funguka kidogo shem wangu......
Kuanzia kushoto: cacico, BADILI TABIA, Kongosho na msaliti Yummy
Last edited by a moderator: