Kwenu JWTZ mbona sasa inakuwa hivi?

Kwenu JWTZ mbona sasa inakuwa hivi?

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Miongoni mwa majeshi ninayo ya heshima ni JWTZ lakini mbona baadhi ya askari wenu wanadhalilisha jeshi? wanazinguwa bar na sare za kazi ama unamwona mtu kalewa chakari ndani ya sare.Askari kama huyu huko kambini hachunguzwi na kudhibitiwa ili kuleta nidhamu kwa jeshi?
 
Wanajeshi nao ni binadamu km wewe, jeshi ni kazi km kazi nyingine. Gwanda lina shida gani akilewa?
Watu wa hovyo wanavaa kaunda suti, suti zenye tai ya bendera, wanakula rushwa, kutukana wananchi, na tunawaita waheshimiwa.

Unajua huko kambini ametoka kupiga mtingo gani?
Tuwaache wanajeshi wafurahie matunda ya jasho lao.
Tuwaheshimu wanajeshi ni watu muhimu sana nchini.
 
Miongoni mwa majeshi ninayo ya heshima ni JWTZ lakini mbona baadhi ya askari wenu wanadhalilisha jeshi? wanazinguwa bar na sare za kazi ama unamwona mtu kalewa chakari ndani ya sare.Askari kama huyu huko kambini hachunguzwi na kudhibitiwa ili kuleta nidhamu kwa jeshi?
Hawa ni wale few bad apple, sheria za jeshi ziko wazi ni marufu kwa ishu kama hizo
 
Back
Top Bottom