Kwenu JWTZ mbona sasa inakuwa hivi?

Kwenu JWTZ mbona sasa inakuwa hivi?

Huyo uliyemuona amelewa alikuwa hajalewa.Hiyo ilikuwa ni mbinu ya kiulinzi alikuwa anaifanya.huenda wewe alikushuku kama ni mharifu au anataka kufanya kitendo kisicho kizuri.ili akukamata ndiyo kajifanya kulewa ili wewe ujue kweli amelewa kumbe hajalewa.Hilo Huwa ni somo kabisa jeshini linaitwa the drunken bowl master in unpredictable condition.
HAHAHAHH! 😆😆
 
Miongoni mwa majeshi ninayo ya heshima ni JWTZ lakini mbona baadhi ya askari wenu wanadhalilisha jeshi? wanazinguwa bar na sare za kazi ama unamwona mtu kalewa chakari ndani ya sare.Askari kama huyu huko kambini hachunguzwi na kudhibitiwa ili kuleta nidhamu kwa jeshi?
unataka afanye nini sasa.
vita hakuna, chadema hawaandamani akae tu kizembe, muache amuagilie moyo mtu wa Mungu
 
Back
Top Bottom