Kwenu JWTZ mbona sasa inakuwa hivi?

Kwenu JWTZ mbona sasa inakuwa hivi?

Huyo uliyemuona amelewa alikuwa hajalewa.Hiyo ilikuwa ni mbinu ya kiulinzi alikuwa anaifanya.huenda wewe alikushuku kama ni mharifu au anataka kufanya kitendo kisicho kizuri.ili akukamata ndiyo kajifanya kulewa ili wewe ujue kweli amelewa kumbe hajalewa.Hilo Huwa ni somo kabisa jeshini linaitwa the drunken bowl master in unpredictable condition.
 
Huyo uliyemuona amelewa alikuwa hajalewa.Hiyo ilikuwa ni mbinu ya kiulinzi alikuwa anaifanya.huenda wewe alikushuku kama ni mharifu au anataka kufanya kitendo kisicho kizuri.ili akukamata ndiyo kajifanya kulewa ili wewe ujue kweli amelewa kumbe hajalewa.Hilo Huwa ni somo kabisa jeshini linaitwa the drunken bowl master in unpredictable condition.
Kumbe?
 
Wanajeshi nao ni binadamu km wewe, jeshi ni kazi km kazi nyingine. Gwanda lina shida gani akilewa?
Unajua huko kambini ametoka kupiga mtingo gani?
Tuwaache Jeiwii wafurahie matunda ya jasho lao.
Tuwaheshimu km watu muhimu sana nchini.
🙆🙆
 
Kwahiyo mnahisi nazinguwa?kumpigia mtu picha bila ridhaa si mnajuwa ni kosa kisheria?
Kama hakuna ushahidi hoja inakuwa batili. Mfano nikisema Mimi ni hawara ya mamaako utakubali tu kwakuwa nimesema na kutoa hoja kuwa siwezi kuweka picha tukiwa pamoja kwasababu mamaako hajaridhia?
 
Mind your business...sio kila soja n soja watu wamefata maokoto tu kule..
😂😂😂 Maokoto ya Mchongo Ila wasenge wanakula gambe wale kuna mmoja alitua kuna kipindi nipo ukonga one man army alikaa km Wiki ni pombe, Bange & Malaya Wiki nzima ni mwendo wa pombe, Bange & Malaya
 
Kama hakuna ushahidi hoja inakuwa batili. Mfano nikisema Mimi ni hawara ya mamaako utakubali tu kwakuwa nimesema na kutoa hoja kuwa siwezi kuweka picha tukiwa pamoja kwasababu mamaako hajaridhia?
Jamaa kasema ukweli mboni ni wengi tu wewe tembea viwanja utawakuta wanatoroka kambini huko wanaingia uraiani sasa pombe zikikolea ndio hapo unashangaa soja yupo mbwiiiii mpaka anashikwa matako hajielewi
 
Miongoni mwa majeshi ninayo ya heshima ni JWTZ lakini mbona baadhi ya askari wenu wanadhalilisha jeshi? wanazinguwa bar na sare za kazi ama unamwona mtu kalewa chakari ndani ya sare.Askari kama huyu huko kambini hachunguzwi na kudhibitiwa ili kuleta nidhamu kwa jeshi?
Bila picha ni majungu tu,na inatakiwa ukamatwe haraka.
 
Jamaa kasema ukweli mboni ni wengi tu wewe tembea viwanja utawakuta wanatoroka kambini huko wanaingia uraiani sasa pombe zikikolea ndio hapo unashangaa soja yupo mbwiiiii mpaka anashikwa matako hajielewi
SijadiliGI hoja za kipumbavu!
 
Huyo uliyemuona amelewa alikuwa hajalewa.Hiyo ilikuwa ni mbinu ya kiulinzi alikuwa anaifanya.huenda wewe alikushuku kama ni mharifu au anataka kufanya kitendo kisicho kizuri.ili akukamata ndiyo kajifanya kulewa ili wewe ujue kweli amelewa kumbe hajalewa.Hilo Huwa ni somo kabisa jeshini linaitwa the drunken bowl master in unpredictable condition.
Toka huko
 
Jamaa kasema ukweli mboni ni wengi tu wewe tembea viwanja utawakuta wanatoroka kambini huko wanaingia uraiani sasa pombe zikikolea ndio hapo unashangaa soja yupo mbwiiiii mpaka anashikwa matako hajielewi
Haswa
 
Back
Top Bottom