Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Sikummpiga pichaPicha?
Tutaamini vipi sasa, rudi bar ukamfotoe.....Sikummpiga picha
Exactly..Mind your business...sio kila soja n soja watu wamefata maokoto tu kule..
Wapi huko? Alikuwa na silaha pia?Sikummpiga picha
Hii imeendaAkilewa Na wewe lewa nae
Humtakii mema mwenzio 😜Tutaamini vipi sasa, rudi bar ukamfotoe.....
NakaziaTutaamini vipi sasa, rudi bar ukamfotoe.....
Hawa ni wale few bad apple, sheria za jeshi ziko wazi ni marufu kwa ishu kama hizoMiongoni mwa majeshi ninayo ya heshima ni JWTZ lakini mbona baadhi ya askari wenu wanadhalilisha jeshi? wanazinguwa bar na sare za kazi ama unamwona mtu kalewa chakari ndani ya sare.Askari kama huyu huko kambini hachunguzwi na kudhibitiwa ili kuleta nidhamu kwa jeshi?
Atuwekee picha au uzi ufutwe.Picha?
Tutaamini vipi sasa, rudi bar ukamfotoe.....