Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Kaka Kaizer huu ushauri wako umekuja muda mbaya, kwa sasa Niko katika maombi makali, naomba Mola anipe mume wangu mwaka 2015.....sitaki kuwa mchepuko. Ameen

Ameen...
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingi tulioolewa ndio wasababishaji kuwepo kwa nyumba ndogo. Hii inatokana na kujisahau wajibu wetu kwa mume.
Elimu na nafasi makazini zimechangia sana kujisahau. Unashindwa kunyenyekea maana una kipato sawa au wakati mwingine unamzidi mumeo. Hii inakujengea fikra potofu kua "hata mimi ninazo"
Kazi zako zote kwa mume anafanya dada. Uko busy pia. Baba akikosa attention yako obvious atatoka nje kufuata attention. Nyumba ndogo ikigundua hilo ni full kujitoa!
Wanaume ni kama watoto, kitu kidogo sana chaweza kumkimbiza au kumrudisha kwake, walioolewa tuwe waangalifu kwenye hili.
Degree yako na cheo chako acha getini kwako, ukiingia ndani vaa joho la mke wa kaizer. Utaweza. Hata kaizer akienda, hataweka makazi.
Ni hulka zao, kua lazima waonje onje kila kipitacho, haimaanishi hakupendi. Ila ukizembea, atapenda kule zaidi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Da Asia this coming from a married woman umenibariki sana.
 
Last edited by a moderator:
Dah...kweli shughuli ipo!!!!

Heri ya mwaka mpya kwako pia Kaizer .
 
Last edited by a moderator:
Namba 13 nitakushushia kipondo kama mbwa mwizi...namba 14 utasoma namba!!!

Samahani kaka au dada. Ashakum si matusi. Kiteitei kikwetu milimani ni kichupi/kachupi. Kitei kikwetu ni mtego wa fuko au wa wanyama wengine waharibifu. Kwa hiyo kiteitei kwa maana hii inaweza kuwa "kimtegomtego". Jina lako lina maana moja kati ya hizi?
 
Mara nyingi tulioolewa ndio wasababishaji kuwepo kwa nyumba ndogo. Hii inatokana na kujisahau wajibu wetu kwa mume.
Elimu na nafasi makazini zimechangia sana kujisahau. Unashindwa kunyenyekea maana una kipato sawa au wakati mwingine unamzidi mumeo. Hii inakujengea fikra potofu kua "hata mimi ninazo"
Kazi zako zote kwa mume anafanya dada. Uko busy pia. Baba akikosa attention yako obvious atatoka nje kufuata attention. Nyumba ndogo ikigundua hilo ni full kujitoa!
Wanaume ni kama watoto, kitu kidogo sana chaweza kumkimbiza au kumrudisha kwake, walioolewa tuwe waangalifu kwenye hili.
Degree yako na cheo chako acha getini kwako, ukiingia ndani vaa joho la mke wa kaizer. Utaweza. Hata kaizer akienda, hataweka makazi.
Ni hulka zao, kua lazima waonje onje kila kipitacho, haimaanishi hakupendi. Ila ukizembea, atapenda kule zaidi.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Well..... Japo hujibu maswali yangu straight..... Nimekusoma kwa makini na nimekuelewa sana.

Wewe u mke bora na mwelewa. Ana heri yule aliyemuoa Da Asia. Yu ana heri sana.
 
Last edited by a moderator:
Duuuuh....mi hii elimu hainifai asilani kwa sababu sitegemei kujiunga na hiyo shule siku zote za uhai wangu eeh Mungu nisaidie.

Aamen! Endelea kuomba hivyo hivyo. Usiombe ipite upande wako utakuwa mkufunzi kwa jinsi ninavyokujua mkuu Khantwe...😕
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom