Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Najisikia kupunjwa sana hii topic kuikutia mbali hivi!! Hata hivyo nimefaidi maushauri. Angalau na mimi niimarishe mchepuko wangu!!

Thanx Kaizer

CC: marejesho
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingi tulioolewa ndio wasababishaji kuwepo kwa nyumba ndogo. Hii inatokana na kujisahau wajibu wetu kwa mume.
Elimu na nafasi makazini zimechangia sana kujisahau. Unashindwa kunyenyekea maana una kipato sawa au wakati mwingine unamzidi mumeo. Hii inakujengea fikra potofu kua "hata mimi ninazo"
Kazi zako zote kwa mume anafanya dada. Uko busy pia. Baba akikosa attention yako obvious atatoka nje kufuata attention. Nyumba ndogo ikigundua hilo ni full kujitoa!
Wanaume ni kama watoto, kitu kidogo sana chaweza kumkimbiza au kumrudisha kwake, walioolewa tuwe waangalifu kwenye hili.
Degree yako na cheo chako acha getini kwako, ukiingia ndani vaa joho la mke wa kaizer. Utaweza. Hata kaizer akienda, hataweka makazi.
Ni hulka zao, kua lazima waonje onje kila kipitacho, haimaanishi hakupendi. Ila ukizembea, atapenda kule zaidi

Well said @ Da Asia. Umejitambua mapema na zaidi nahisi utakuwa unalifanyia kazi jambo hilo....namuonea wivu jamaa...atakuwa anafaudu sana 😀😀😉
 
mmh!!! shemdarling Kaizer mie hata sijaelewa mada
 
Last edited by a moderator:
Mdomo wenyewe umekatika vipande, maziwa nitayanywaje mwenza?
Bado nawe likukute

ahahah me nikiona nyasi zinatikisika najua kuna joka laja hivo mapema natoka nduki sisubiri linikute hapo
 
Back
Top Bottom