Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu


wewe mpuuzi kweli. ina maana mumeo akiwa na mapungufu kwako utachepuka na kuona ndio solution,? nae atatakiwa kuangalia wapi kakosea na akuulize kwa upole? thubutuu yako.
msihalalishe tabia chafu kwa visingizio hapa.
 
Kaizer vipi nyumba ndogo yako inazingatia hayo?
 
Last edited by a moderator:
Mweh Kaizer hii ilinipita ila bado useful hahaaahaa.ama kweli ni kucheza tu na karata

Napita zangu mie
 
Last edited by a moderator:
Mweh Kaizer hii ilinipita ila bado useful hahaaahaa.ama kweli ni kucheza tu na karata

Napita zangu mie

Usipite tu Chocs bila kunisabahi japo kidogo sijui salam yako alinselema au mabadilikooooo?

Halafu mwallu nimekuona umepita hapa...
 
Last edited by a moderator:
Usipite tu Chocs bila kunisabahi japo kidogo sijui salam yako alinselema au mabadilikooooo?

Halafu mwallu nimekuona umepita hapa...


Habar yako Binafsi " samaki haliwi kwa kijiko "
Hiyo ni siri yangu bwana
 
Last edited by a moderator:
Habar yako Binafsi " samaki haliwi kwa kijiko "
Hiyo ni siri yangu bwana

Naaam........apo sawa sasa.....samaki ana namna yake ya kuliwa sio kijiko
 
Da Asia umeongea kitu muhimu sana kwamba ni wanaume ni wasikivu sana ukiwa na approach nzuri umenigusa.Mimi mwanamke akitaka kunipata songs kwa upole,taratibu na unyenyekevu ameniweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…