Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Wanaume kumbukeni kua nyumba ndogo ziko smart kushinda nyumba kubwa. Nina imani na nyie mnatekwa sababu hiyo. Tena kama uko busy sana na kazi au biashara, nyumba kubwa imebweteka maana ishaiona ndoa, pete kidoleni, wanajisahau.
Nyumba ndogo busy kufuatilia mambo ya baba yaende vyema. Nyumba ndogo ndio inatafuta shule za watoto wa baba, maongezi pia na baba yanaendana, wakati myumba kubwa iko busy kumueleza baba yaliyojiri ze comedy, nyumba ndogo inamueleza habari za eskrow na ndege iliyopotea.
Mlio kwenye ndoa zingatieni haya pia. Baba anakua busy kiasi hata gazeti kusoma anakosa muda, akija mpe ya maana yaliyojiri kwenye news, sio Joti alichofanya kwenye ze comedy show.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hakyamama..... Where is snowhite when I need her the most??

Eti Da Asia, ulishawahi kuwa kwenye ndoa au ulishawahi kuwa nyumba ndogo? Manake yaelekea unayajua yote ya pande zote mbili.

Maana hakuna nyumba ndogo tamu kama ile iliyoachika (hapa wajane hawahusiki).........:becky::becky::becky::becky:
 
Last edited by a moderator:
Ushauri mwingine kwa nyumba ndogo, huu utakua wa mwisho nadhani.
Cheza karata zako vizuri nyumba kubwa isijue. Msaidie baba kwa namna yoyote ile kificha uchafu wenu usijulikane. Nyumba kubwa ikijua, imekula kwako!
Mara nyingi hawa viumbe waitwao wanaume, hawakubali kuharibu ndoa yao ili afurahishe nyumba ndogo. Mahodari wa kujitapa "usijali, hata akijua najua cha kufanya"! Ngoja vibumbuluke, aisee, imekula kwako!!!
Jihadharini sana na hili...
Kama unamuhitaji maana anakufaa, msaidie kulinda ndoa yake.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakyamama..... Where is snowhite when I need her the most??

Eti Da Asia, ulishawahi kuwa kwenye ndoa au ulishawahi kuwa nyumba ndogo? Manake yaelekea unayajua yote ya pande zote mbili.

Maana hakuna nyumba ndogo tamu kama ile iliyoachika (hapa wajane hawahusiki).........:becky::becky::becky::becky:

Mimi niko kwenye ndoa ya miaka mingi tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mimi niko kwenye ndoa ya miaka mingi tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Unahisi mmeo ana mchepuko?
Ukigundua mmeo anachepuka utafanyaje?
Ukimfahamu mchepuko wa mmeo utamfanyaje?
We ulishawahi kuchepuka?
Ulishawahi kuwa nyumba ndogo?
Kama bado uko tayari kuchepuka?
Kama uko tayari umejiandaaje mmeo asijue? (Samahani kwa kutoka nje ya mada)
 
Back
Top Bottom