Kwenu TARURA mkoa wa Tanga

Kwenu TARURA mkoa wa Tanga

Mwana Mwema

Senior Member
Joined
Nov 15, 2012
Posts
143
Reaction score
133
TARURA mko wapi?

Mnatufanyia kazi nzuri sana kwa barabara zetu za mitaa. Changamoto ni pale mnapokuja kudhibiti zile sehemu korofi ambazo mvua zikinyesha zinajaa maji.

Mfano huku kwetu Tanga, maeneo ya kange kwa mmsai mpaka kwenda mbugani ni kero. Mmeziba njia za kwenye kona kwajili ya kuweka hiyo mifereji, hamjaweka diversion na mradi una zaidi ya miezi mitatu sasa. Mnatufikiria kweli?

Mbona mpo kama hampo, unajikuta badala ya kupita njia rasmi unazunguka sana na njia za mzunguko ni mbovu zaidi. Wakati mwingine inakuwa ni bora zingebaki vilevile kuliko kuweka hayo madaraja, sabu hata namna yalivyojengwa yani mimi sio injinia ila daah, kama angebahatika kupita mwenda zake naona TARURA mngekuwa na hali mbaya sana.
 
OK langu mimi mbona wanabagua, only a few roads have been graded
 
Itabidi umwambie ODO Ummy awashughulikie maana ni jimbo lake alafu Tarura wapo chini ya Tamisemi
TARURA mko wapi?

Mnatufanyia kazi nzuri sana kwa barabara zetu za mitaa. Changamoto ni pale mnapokuja kudhibiti zile sehemu korofi ambazo mvua zikinyesha zinajaa maji.

Mfano huku kwetu Tanga, maeneo ya kange kwa mmsai mpaka kwenda mbugani ni kero. Mmeziba njia za kwenye kona kwajili ya kuweka hiyo mifereji, hamjaweka diversion na mradi una zaidi ya miezi mitatu sasa. Mnatufikiria kweli?

Mbona mpo kama hampo, unajikuta badala ya kupita njia rasmi unazunguka sana na njia za mzunguko ni mbovu zaidi. Wakati mwingine inakuwa ni bora zingebaki vilevile kuliko kuweka hayo madaraja, sabu hata namna yalivyojengwa yani mimi sio injinia ila daah, kama angebahatika kupita mwenda zake naona TARURA mngekuwa na hali mbaya sana.
 
Back
Top Bottom