Uchaguzi 2020 Kwenu viongozi wa dini, Uchaguzi unawahusu pia...

Uchaguzi 2020 Kwenu viongozi wa dini, Uchaguzi unawahusu pia...

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Amani kwako.


Maandiko yanasema.
Warumi - Romans 13:
1 Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo imeamriwa na Mungu.

2 Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.

3 Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake;

👉Nimeanza na andiko litokalo kwenye msaafu wa Biblia ambalo mara nyingi viongozi wa dini hutumia andiko hilo kama fimbo kwa waumini/kondoo wao ili kuwaogofya juu ya viongozi wa kisiasa wa duniani.

Ninavyofaham si kila kiongozi wa kisiasa as president Mungu karuhusu awe kiongozi NO, hata ibilisi ana weka watu wake, sida inakuja akishaingia madarakani wote lazima tumuunge mkono, but utajuaje huyu ni kutoka kwa Mungu na huyu ni wa ibilisi?

Jibu ni rahisi sana, kiongozi mwenye hofu ya Mungu hawezi kukubali kumpoteza hata kondoo mmoja, atapenda aongoze kundi kubwa na kulifikisha salama, kuingia madarakani akiruhusu kumpoteza kondoo mmoja kuliwa na mbwea wenye njaa inaonyesha you're a devil partner, angalia njia uipitiayo.

Kwako kiongozi wa dini ambaye kwa sasa unaangalia ukiwa ndani waumini (watoa zaka na sadaka) wakidai haki yao lakini wanaishia gizani, wengi mnaogopa kusema hadharani kwa sababu ya hofu ila muwe wazi, isije kuwa hizi dini ni sehemu ya kujificha na yule Mungu mnayemtaja wa AMANI hayupo.



HAKI UINUA TAIFA.
 
Mwenye uwezo huo wa kuwatetea Watanzania ni Rais Magufuli

Ushindi kwa Rais ni 98%
 
Mwenye uwezo huo wa kuwatetea Watanzania ni Rais Magufuli

Ushindi kwa Rais ni 98%
Kwa nini asiwatetee wale wanaochinjwa kwa risasi kule Zanzibar..?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Viongozi wa dini wamekuwa kimya wakiangalia ushenzi ukitendeka!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Unaamini habari za uzushi wa Chadema
Kwanini unasema ni uzishi wa CHADEMA? Kwani si kweli kuwa watu wameuwawa? Mpaka afe ndugu yako ndo aumini kuwa kuna watu wameuwawa? Kwanini CCM mnajifanya hamnazo kiasi hiki? Hivi mnadhani watu ni wapumbavu wasioelewa hayo? Nawaambia mida unakuja ambapo tutatenganisha maharage na kunde. Wala siyo mbali. Time will tell. The truth never fails.
 
Viongozi wa dini wamekuwa kimya wakiangalia ushenzi ukitendeka!
Wachungaji maaskofu mashehe mapadri wa kizazi cha sasa wengi wao kwa 70% ni wanafiki watupu. Walivyo waroho wa pesa za waumini wao , hawana tofauti yoyote na majangili wa ccm.
 

Hawa viongozi wa dini UCHWARA mimi nimewadharau wote with exception ya wachache wa Kiislamu ba Kikristo ambao hawaogopi kuikemea hii Serikali dhalimu kwa maovu yake Viongozi kama Askofu Bagonza, Mwamakula, Sheikh Ponda, Sheikh Katambi etc.
 
Wachungaji maaskofu mashehe mapadri wa kizazi cha sasa wengi wao kwa 70% ni wanafiki watupu. Walivyo waroho wa pesa za waumini wao , hawana tofauti yoyote na majangili wa ccm.
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
 
Viongozi wa dini wamekuwa kimya wakiangalia ushenzi ukitendeka!
Hapo ndipo ninapowashangaa kwa nini wanashindwa kuwatetea wapeleka zaka na sadaka wakiumia, kuuliwa na maharamia au wanaogopa kufutiwa vibali vya mahekalu yao?
 
Kwanini unasema ni uzishi wa CHADEMA? Kwani si kweli kuwa watu wameuwawa? Mpaka afe ndugu yako ndo aumini kuwa kuna watu wameuwawa? Kwanini CCM mnajifanya hamnazo kiasi hiki? Hivi mnadhani watu ni wapumbavu wasioelewa hayo? Nawaambia mida unakuja ambapo tutatenganisha maharage na kunde. Wala siyo mbali. Time will tell. The truth never fails.
huwez kusema kuna haki mpaka ukumbane na ukosaji haki....
 
Hawa viongozi wa dini UCHWARA mimi nimewadharau wote with exception ya wachache wa Kiislamu ba Kikristo ambao hawaogopi kuikemea hii Serikali dhalimu kwa maovu yake Viongozi kama Askofu Bagonza, Mwamakula, Sheikh Ponda, Sheikh Katambi etc.
Pia kuna Bishop Mpemba, anakemea hawa waovu
 
Viongozi wa dini wamefanya zinaa na kahaba mkuu wa kwenye ufunuo na hata kukinywea kikombe
 
Ole wenu siku zaja kwa kushiriki dhuluma kwa kufunga ndoa na watawala dhalimu wanaomkufuru Mungu
 
Amani kwako.


Maandiko yanasema.
Warumi - Romans 13:
1 Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo imeamriwa na Mungu.

2 Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.

3 Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake;

[emoji117]Nimeanza na andiko litokalo kwenye msaafu wa Biblia ambalo mara nyingi viongozi wa dini hutumia andiko hilo kama fimbo kwa waumini/kondoo wao ili kuwaogofya juu ya viongozi wa kisiasa wa duniani.

Ninavyofaham si kila kiongozi wa kisiasa as president Mungu karuhusu awe kiongozi NO, hata ibilisi ana weka watu wake, sida inakuja akishaingia madarakani wote lazima tumuunge mkono, but utajuaje huyu ni kutoka kwa Mungu na huyu ni wa ibilisi?

Jibu ni rahisi sana, kiongozi mwenye hofu ya Mungu hawezi kukubali kumpoteza hata kondoo mmoja, atapenda aongoze kundi kubwa na kulifikisha salama, kuingia madarakani akiruhusu kumpoteza kondoo mmoja kuliwa na mbwea wenye njaa inaonyesha you're a devil partner, angalia njia uipitiayo.

Kwako kiongozi wa dini ambaye kwa sasa unaangalia ukiwa ndani waumini (watoa zaka na sadaka) wakidai haki yao lakini wanaishia gizani, wengi mnaogopa kusema hadharani kwa sababu ya hofu ila muwe wazi, isije kuwa hizi dini ni sehemu ya kujificha na yule Mungu mnayemtaja wa AMANI hayupo.



HAKI UINUA TAIFA.
Hebu lete sadaka huku. Mengine ni furahisha genge.
 
Back
Top Bottom