pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Viongozi wa dini tulio nao sasa sio watu wakukemea uovu au kusema kweli. Wengi wana sifa za unafiki na undumi la kuwili.
Unyanyasaji unaofanywa na awamu hii wamekuwa kimya bila kukemea na kuachia wachache ndio waseme.
Kongole kwa; watu kama askofu Bagoza na Sheikh Ponda
Unyanyasaji unaofanywa na awamu hii wamekuwa kimya bila kukemea na kuachia wachache ndio waseme.
Kongole kwa; watu kama askofu Bagoza na Sheikh Ponda