Uchaguzi 2020 Kwenu viongozi wa dini, Uchaguzi unawahusu pia...

Viongozi wa dini tulio nao sasa sio watu wakukemea uovu au kusema kweli. Wengi wana sifa za unafiki na undumi la kuwili.
Unyanyasaji unaofanywa na awamu hii wamekuwa kimya bila kukemea na kuachia wachache ndio waseme.
Kongole kwa; watu kama askofu Bagoza na Sheikh Ponda
 
Mtu akifa akipigania siasa huyo moja kwa moja jehanamu
 
Hichi kipigo cha uchaguzi 2020 kweli kilikuwa kitakatifu, maumivu hayaishi mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…