Kwanini unasema ni uzishi wa CHADEMA? Kwani si kweli kuwa watu wameuwawa? Mpaka afe ndugu yako ndo aumini kuwa kuna watu wameuwawa? Kwanini CCM mnajifanya hamnazo kiasi hiki? Hivi mnadhani watu ni wapumbavu wasioelewa hayo? Nawaambia mida unakuja ambapo tutatenganisha maharage na kunde. Wala siyo mbali. Time will tell. The truth never fails.