Tunajua ndio lengo, lkn mimi naona kama inaleta uzuzu flaniPlan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.
Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Kadi yako namba ngapiMimi ni Yanga ila sipendezwi na huko tuelekako, tunaonekana kama ni kitu kigeni mno
Haujawahi kuwa yanga wewe,wewe ni kolo muhaniMimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much"
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Huyu haelewi kabisa. Haelewi maana ya branding🤣🤣🤣🤣 waache wa kusema ushamba waseme. Ila kuiongelea yanga ndo inaipaisha zaidiPlan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.
Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
AahaaaaNdio ni mazuzu FC...
Malimbukeni FC..
Supu FC...
vibudu FC....
Mabango FC....
Wewe tulia bao 5 sio ndogo usichukulie poa ukipigwa bao 5 unatembea ukiwa unachechemeaNdio ni mazuzu FC...
Malimbukeni FC..
Supu FC...
vibudu FC....
Mabango FC....
Mamluki huyo hakuna mwana Yanga hapoKadi yako namba ngapi