Kwenu viongozi wa Yanga, Hersi

Kwenu viongozi wa Yanga, Hersi

logframe

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
4,242
Reaction score
5,543
Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.

Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.

It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.

Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?

It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".

Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
 
Club ya kizaramo hiyo haijawahi kuishiwa shughuli.

Mkitoka kwenye mabango zitashonwa khanga na wavaaji wapo hata humu tunawajua.

Mnataka kuwaona hao wavaaji wa kanga ambao watakuwa tayari kuvaa bila kujali jinsia zao?

Basi chunguzeni kwa makini watao reply hii post yangu mtawajua.
 
Plan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.

Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
 
Plan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.

Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Tunajua ndio lengo, lkn mimi naona kama inaleta uzuzu flani
 
Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.

Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?

It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much"
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Haujawahi kuwa yanga wewe,wewe ni kolo muhani
 
Plan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.

Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Huyu haelewi kabisa. Haelewi maana ya branding🤣🤣🤣🤣 waache wa kusema ushamba waseme. Ila kuiongelea yanga ndo inaipaisha zaidi
 
Back
Top Bottom