Waambie Nifah asietaka kuona mabango avae miwani ya mbaoMabango tunayo na tunatamba nayo, asiyetaka afumbe macho hakuna aliyelazimishwa kuyaona.
Tulia kolo tunataka midomo ikae kmya kabsa ...Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much"
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Subiri bango lingine baada ya marudiano nadhani mtafukuzana wenyewe kwa wenyewe mnamtafuta mchawiSamalekooo majirani....mwaka wenu huu nasikia mmekuja na khanga za 5G ila mna shughuli jamani khaaa π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Ww n kolo... bango ni fumbo huwez fumbuaMimi ni Yanga ila sipendezwi na huko tuelekako, tunaonekana kama ni kitu kigeni mno
Hio ni Yako wewe. Sisi tuliosomea marketing tunaelewa. Labda kama unaendekeza ukolomwaniπ€£Hapana, Huko ni zaidi ya branding, ni uzaramo huo
Nilikuwa Kenya last week hakuna media yoyote iliyozungumzia huo upuuzi, nilipita hata pale kwa Kagame nako kimya tu, juzi sasa nikashangaa pale kwa Madiba mabosi wa CAF hawana habari kabisa na hizo 5 za Uto ππkote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.
Mkuu umekula?Nilikuwa Kenya last week hakuna media yoyote iliyozungumzia huo upuuzi, nilipita hata pale kwa Kagame nako kimya tu, juzi sasa nikashangaa pale kwa Madiba mabosi wa CAF hawana habari kabisa na hizo 5 za Uto ππ
Media zote za kwa Madiba zinaijua Simba pekee na zilitangaza na kupiga picha wakati Try Again akipokea tuzo
Cha ajabu hata mhandisi Hersi hakutengewa hata seat pale stadium wala kuitwa kwa jukwaa kupewa heko za 5ππ
Mzee hizi media za Mbagara ndio zimewafanya mjione mmezungumziwa kila pahali?
Hiyo supu ya comredi Bashite imeua kabisa bongo za wana Uto ππ
Hakika nimeamini wenye akili Uto ni Wawili tu π π π π π
NdiyoMkuu umekula?
Maana yake Club kwenye idara ya creativity haina watu wasomi wa kuumiza kichwa kuifanya Club iwe midomoni mwa watu kwa kubuni vitu vya msingi vinavyoenda kuifaidisha Club.Plan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.
Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Hata huku baadhi yetu wana simba tumeona hayo mabango yanatusaidia kuwashtua viongozi wafanye usajili mzuri. Kwahiyo endeleeni kuyawekaHapana kabisa, baadhi yetu wanayanga tumeona ni uzuzu kabisa kuendekeza Bango, uzaramo tuuepuke
Dah! Ulipotea kabisaa mkuu. Naona umerudiClub ya kizaramo hiyo haijawahi kuishiwa shughuli.
Mkitoka kwenye mabango zitashonwa khanga na wavaaji wapo hata humu tunawajua.
Mnataka kuwaona hao wavaaji wa kanga ambao watakuwa tayari kuvaa bila kujali jinsia zao?
Basi chunguzeni kwa makini watao reply hii post yangu mtawajua.
Haitoi maana halisi. Ukubwa wa Simba mdomoni tu.. kama mmetoa sare na ahly na tumekupiga Tano! Ahly tutamfanya nn? Cros mataputapu chapchapNilikuwa Kenya last week hakuna media yoyote iliyozungumzia huo upuuzi, nilipita hata pale kwa Kagame nako kimya tu, juzi sasa nikashangaa pale kwa Madiba mabosi wa CAF hawana habari kabisa na hizo 5 za Uto ππ
Media zote za kwa Madiba zinaijua Simba pekee na zilitangaza na kupiga picha wakati Try Again akipokea tuzo
Cha ajabu hata mhandisi Hersi hakutengewa hata seat pale stadium wala kuitwa kwa jukwaa kupewa heko za 5ππ
Mzee hizi media za Mbagara ndio zimewafanya mjione mmezungumziwa kila pahali?
Hiyo supu ya comredi Bashite imeua kabisa bongo za wana Uto ππ
Hakika nimeamini wenye akili Uto ni Wawili tu π π π π π