Club ya kizaramo hiyo haijawahi kuishiwa shughuli.
Mkitoka kwenye mabango zitashonwa khanga na wavaaji wapo hata humu tunawajua.
Mnataka kuwaona hao wavaaji wa kanga ambao watakuwa tayari kuvaa bila kujali jinsia zao?
Basi chunguzeni kwa makini watao reply hii post yangu mtawajua.
Si mnasema kule kuna 2 tu.Tunajua ndio lengo, lkn mimi naona kama inaleta uzuzu flani
Its true.....Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Ukubwa wa Simba upo kwenye nini wewe ndondocha?Kwa kawaida lakini Club ndogo inapoifunga giant huwa wanafanya kama yanga wanavyofanya.
Sijawahi ona Manchester United akimfunga Liverpool anaweka bango.
Au Manchester United akimfunga Wigan Athletic anaweka bango.
Ila Wigan Athletic akimfunga Manchester United lazima asheherekee.
Vivyo hivyo kwa Yanga kumfunga Simba ni jambo la bahati na furaha kubwa sana isiyoelezeka, ilikua lazima wanywe supu na kuweka mabango.
Huo uzuzu ndo Raha yenyewe! Asikwambie mtu mabango ya ushindi wa 5G ni raha mno kuyaangalia huku mfukoni huna kitu unasahau shida zako zote!!Tunajua ndio lengo, lkn mimi naona kama inaleta uzuzu flani
Hiyo chaos ndiyo inatafutwa, lengo ni kuwaumiza nyie madunduka kisaikolojia...[emoji1787]...seems like lengo linafanikiwa!It's enough, kila kitu kikiwa hakina kiasi ni chaos
Na Yanga tunataka Chaos haswaaa, yaani tuna ugomvi na amani kwa sasaIt's enough, kila kitu kikiwa hakina kiasi ni chaos