Club ya kizaramo hiyo haijawahi kuishiwa shughuli.
Mkitoka kwenye mabango zitashonwa khanga na wavaaji wapo hata humu tunawajua.
Mnataka kuwaona hao wavaaji wa kanga ambao watakuwa tayari kuvaa bila kujali jinsia zao?
Basi chunguzeni kwa makini watao reply hii post yangu mtawajua.
Defence mechanism ya kutufanya Uto tusi reply.