Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pole sana sana Mungu azidi kuwa faraja kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen.Pole sana mwana JF mwenzetu naamini Mungu atakuvusha hapa kwa kukutia nguvu na faraja.
AkhsanteTuko pamoja
AsantePole sana
AmenTumezipokea, Mungu akubariki na azidi kukupa nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Amen!
Nao waliokufa katika Bwana Yesu nitawaona tena huko juu.Pole sana Rafiki, nimekuwekea kawimbo hako kakawe faràjja kwako
Verse 3. Nikikaribia kufa, Neno lako siachi....
AmenTuko pamoja mama don't cry
Ananiwazia mema.Mungu Ni mwema kila wakati
AkhsantePole sana, Ahsante kwa shukrani.
Sote ni wapita njia...
AmenHakuna njia ya mkato katika kuomboleza. Kwa sasa ukijisikia kulia lia. Tena lia kabisa bila woga. Na huwa tunasema kuwa muda ni tabibu mwema. Naam! Jipe muda. Endelea kusali. Omba faraja na mwongozo wa Roho Mtakatifu.
Kwa sasa ni giza lakini kwa jinsi muda utakavyokuwa unapita, pole pole kutaanza kupambazuka na Mungu wako unayemwabudu hatakuacha. Japo pengo la mzee halitazibika kamwe lakini tabasamu litarejea tena katika uso wako, moyo huo unaouma utaanza kupona na maisha yataendelea. Dumisha mema yote aliyokufundisha baba yako; na kupitia kwako mzee huyo ataendelea kuishi.
Pole sana. Mungu Atakuinua tena [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
AmenTime is a best healer,
Vitu vinapotukuta huwa tunaona kama tumeisha au dunia imeishia hapo ila muda hutufundisha kuishi na kumbukumbu zote pasipo kutuumiza kama mwanzoni..
Mungu akawe chanzo cha nguvu, faraja na uponyaji wako katika kipindi hiki kigumu saint Anne
AkhsantePole sana
AmenPole sana Saint Anne! Inauma sana kumpoteza mzazi ila ni mapito ya hapa duniani cha muhimu ni kujikaza najua ni ngumu ila haina jinsi mzazi anauma sana. Waliosema msiba usikie kwa wengine ila usiwe kwako hawakuwa mbali kabisa na uhalisia yani it hits so hard ila tuko pamoja na wewe kama moja ya wanafamilia wa jf i pass my condolences for the loss!
AmenBe strong dada,Mungu akujaalie moyo wa subira.
Amen.Pole ndugu, ila nikupe moyo tu usiwaze Sana kuhusu maisha bila ya baba, aliefanya wewe uwepo atajua utaendelea vipi, aliefanya baba yako kuwepo na wewe kutokea kwake na aliefanya baba yako asiwepo muda huu ndie huyo huyo atahakikisha haukwami.
Mimi nimeishi bila baba na mama tokea nikiwa chini ya mwezi mmoja na niliweza kuvuka na Leo nimesimama vipi ishindikane kwako? Tena wewe unaeamini?
Ombi langu Ni baba yako ajaliwe kukutana na Mungu wetu alietuumba bila ya Shari.
AmenKifo ndio mwisho wa kila kiumbe chenye uhai,mtu husikitika na kuumia kwa kuondokewa na mtu wake but one day we will all die,
Weka imani yako kwa muumba hope utarudi katika hali yako ya kawaida,uzuri sisi binadamu Mungu alituumba kusahau.
AmenOnce again,pole sana.
Tough times..hatuna budi kuendelea kumuombea apumzike kwa amani.
AmenPole sana dear..Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakika.Pole sana dada angu kifo ni mlango wote tutaupitia