Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
- #101
Akhsante..Pole sana mkuu yote ni mitihani tu ya maisha yetu hapa duniani maana tunapita i know hali unayopitia mke wangu alimpoteza baba yake(yetu) nov mwaka jana mpaka leo bado hajarecover so nakuelewa
Tofauti yangu na mkeo,yeye ana mume na watoto,mimi sina mume wala watoto,mimi bado ni mtoto.