Kwenu wanaJF: Saint Anne ninawashukuru mno

Amen
 
Amen
 
Amen
Akhsante bro.
 
Amen.
Ni kipindi kibaya kuwahi kupitia maishani
 
Kifo ndio mwisho wa kila kiumbe chenye uhai,mtu husikitika na kuumia kwa kuondokewa na mtu wake but one day we will all die,

Weka imani yako kwa muumba hope utarudi katika hali yako ya kawaida,uzuri sisi binadamu Mungu alituumba kusahau.
Amen
Akhsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…