Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #101
Akhsante..Pole sana mkuu yote ni mitihani tu ya maisha yetu hapa duniani maana tunapita i know hali unayopitia mke wangu alimpoteza baba yake(yetu) nov mwaka jana mpaka leo bado hajarecover so nakuelewa
AmenPole sana mpendwa, Mungu azidi kuwapa nguvu katika kipindi kigumu mnachopitia [emoji120]View attachment 1811829
AkhsanteTuko pamoja
Akhsante.Pole sana ila umeharibu kutajataja majina, kama shukrani ungetoa za jumla tu. Msiba sio sherehe kuanza kutajana majina.
Dukuduku langu ni hilo ila pole sana.
Huwa unanifanya nifurahi kila nisomapo maandishi yako.
Amen,akhsante dada.
AmenMuda pekee utakuponya moyo wako...
AkhsantePole
Asante dada .Pole sana mpenzi...nashindwa nikuambie maneno gani ya kukufariji nakuombea tu Mungu akutie nguvu
Amen.Pole sana Mungu akupe ulinzi kwny kipindi hiki kigumu unachopitia tunakupenda sana,na tupo pamoja na ww yote ni mapito.
AmenPole sana kipenzi nimefurahi kuona walau umefarijika. Tuendelee kumuombea mzee wetu apumzike kwa amani. [emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24]
Asante.Pole sana
Saint Anne
Wakati wote Mungu ni mwema.Tupo pamoja mkuu.
God is good, All the time.
Amen.Pole Sana Saint Anne kwa msiba huu mzito wa kuondokewa na baba naelewa Ni situation gani unaipitia ..hisia,majonzi nk Lakin nakuombea kwa Mungu wetu Alie hai akuvushe salama katika kipindi hiki kigum.
Ni kipindi unahitaji faraja na sisi tuko pamoja na wewe..!
Mungu alitoa na Sasa amechukua
Jina lake lihimidiwe.
Amen
AkhsanteAmen
AmenHata sasaa Mungu anakuwazia yaliyo mema.Pole sanaa
AmenPole sana Anne Mungu azidi kukutia nguvu
Akhsante.Pole Sana dada Tuko pamoja nawe
Kila wakat
AkhsanteDeath is the destination we all share....
Pole sana
AmenMungu akutie nguvu kipenzi, cha kufanya sasa ni kumuombea baba apate pumziko zuri la milele. Jikaze mana mtihani unaopitia ni mgumu