Kwenu wanaJF: Saint Anne ninawashukuru mno

Pole sana mkuu yote ni mitihani tu ya maisha yetu hapa duniani maana tunapita i know hali unayopitia mke wangu alimpoteza baba yake(yetu) nov mwaka jana mpaka leo bado hajarecover so nakuelewa
Akhsante..

Tofauti yangu na mkeo,yeye ana mume na watoto,mimi sina mume wala watoto,mimi bado ni mtoto.
 
Ashukuriwe na kuabudiwa,kazi yake haina makosa,naye atabaki kuwa Mungu,pole sana endelea kumuomba Mungu akutie ujasiri wa kusonga mbele....
 
Pole sana ila umeharibu kutajataja majina, kama shukrani ungetoa za jumla tu. Msiba sio sherehe kuanza kutajana majina.
Dukuduku langu ni hilo ila pole sana.
Akhsante.

Samahani kama nitakuwa nimekosea kutaja majina lakini nimetaja machache kwa niaba ya wengi waliokuwa nami.
Nafsi yangu kuna namna imeridhika kwa kutaja hayo majina.
 
Pole sana kipenzi nimefurahi kuona walau umefarijika. Tuendelee kumuombea mzee wetu apumzike kwa amani. [emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24]
Amen
 
Amen.
Ubarikiwe .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…