Kwenu wanaJF: Saint Anne ninawashukuru mno

Pole sana kipenzi nimefurahi kuona walau umefarijika. Tuendelee kumuombea mzee wetu apumzike kwa amani. [emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24]
Ahsante sana mdogo angu; muendelee kupendana hivyohivyo. Big sis loves you two dearly. Baba yetu aendelee kupumzika kwa amani.
 
Baba Yetu Apumzike kwa Amani, Mungu ni Mwema kila wakati, tuko pamoja Dada.
 
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
Mungu akawe mfariji wako my dear, pole sana, kilichobaki ni mimi na wewe kumuombea na kujiandaa na safari yetu ya mwisho, raha ya milele ummpe ee bwana,........
 
Asante kwa faraja.
 
You are such a grateful human being, and you deserve all good things in this life and a good man/husband to be specific. Mungu atakusaidia na maisha yatasonga, jipe moyo.... Again my condolences Annie.

Mimi sijawahi kuishi na baba, Mungu amenipendelea sana kunipa mwenza ambaye naweza kumuita majina mengi mazuri. Nakuombea mdogo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…