Kwenu wanaJF: Saint Anne ninawashukuru mno

Kwenu wanaJF: Saint Anne ninawashukuru mno

Pole sana rafiki yangu mpenzi Saint Anne

Mungu amrehemu baba yetu mpendwa...

Sote tuko safarini, kila mmoja lazima afike mwisho wa safari... Piga moyo konde na mshukuru Mungu. Wanadamu tumeumbwa kusahau, ni swala la muda tu...

Nilitamani niwe baba yako mlezi nikualike uje uishi hapa kwangu... Tatizo haya machalii hapa nyumbani nikiyaangalia kwa jicho la kiroho naona kabisa kutakuwa na dalili za ubakaji... Nami siyapi poketi mane, acha yaendelee kupambana na sabuni mpaka kieleweke...

Nakumbukua uliwahi kusema mimi ni rafiki yako, basi najua utakuwa umenielewa kirafiki...

Ngoja niwahi hapo kaunta nikafanye mapenzi na K Vant. Hizi Habari za misiba nisipopata K Vant huwa usiku naona nimegombana na mama, nami nlishaapa sitaki kulaaniwa na mama...
Asante babu kwa kujali[emoji120]
 
Amen dada tunakupenda pia. Asante kwa kuwa naye bega kwa bega kwenye hili Mungu akubariki sana kwa kuwa na moyo wa Kujitoa na nakuombea uendelee na moyo huo.
Ndaga fijo nkamu

Saint Anne It is well mdogo angu. In every pain, God is working.

Romans 8:28 "And we know that in all things God works for the good of those who love him, who have been called according to his purpose"

John 16:33 "I have told you these things, so that in me you may have peace. In this world you will have trouble. But take heart! I have overcome the world."
 
Ndaga fijo nkamu

Saint Anne It is well mdogo angu. In every pain, God is working.

Romans 8:28 "And we know that in all things God works for the good of those who love him, who have been called according to his purpose"

John 16:33 "I have told you these things, so that in me you may have peace. In this world you will have trouble. But take heart! I have overcome the world."
Amen dada, Barikiwa sana. [emoji173][emoji173] [emoji120][emoji120]
 
Ndaga fijo nkamu

Saint Anne It is well mdogo angu. In every pain, God is working.

Romans 8:28 "And we know that in all things God works for the good of those who love him, who have been called according to his purpose"

John 16:33 "I have told you these things, so that in me you may have peace. In this world you will have trouble. But take heart! I have overcome the world."
Amen[emoji24][emoji120]
 
Wale wote mlioniombea,mnaoniombea na mnaonitia moyo namuomba Mungu azidi kuwabariki.

Mungu azidi wabariki wote,
Kuna wanaoendelea kutoa faraja za hali na Mali kwangu na kwa familia yangu kiujumla.
Nasukumwa kutoa shukrani zangu kwenu.
Natambua uwepo wenu kwangu,kazi mnayoifanya Mungu atailipa.

Mungu wangu na azidi kuwatunza,
Akakumbuke sadaka zenu za Muda,faraja,Mali,maombi,mahusia nk [emoji120][emoji120].
 
Wale wote mlioniombea,mnaoniombea na mnaonitia moyo namuomba Mungu azidi kuwabariki.

Mungu azidi wabariki wote,
Kuna wanaoendelea kutoa faraja za hali na Mali kwangu na kwa familia yangu kiujumla.
Nasukumwa kutoa shukrani zangu kwenu.
Natambua uwepo wenu kwangu,kazi mnayoifanya Mungu atailipa.

Mungu wangu na azidi kuwatunza,
Akakumbuke sadaka zenu za Muda,faraja,Mali,maombi,mahusia nk [emoji120][emoji120].
Barikiwa zaidi ... Na Mungu azidi kukutia nguvu
 
Mungu akulinde mpendwa... Azidi kuwa faraja kwako
 
Back
Top Bottom