Pole sana rafiki yangu mpenzi
Saint Anne
Mungu amrehemu baba yetu mpendwa...
Sote tuko safarini, kila mmoja lazima afike mwisho wa safari... Piga moyo konde na mshukuru Mungu. Wanadamu tumeumbwa kusahau, ni swala la muda tu...
Nilitamani niwe baba yako mlezi nikualike uje uishi hapa kwangu... Tatizo haya machalii hapa nyumbani nikiyaangalia kwa jicho la kiroho naona kabisa kutakuwa na dalili za ubakaji... Nami siyapi poketi mane, acha yaendelee kupambana na sabuni mpaka kieleweke...
Nakumbukua uliwahi kusema mimi ni rafiki yako, basi najua utakuwa umenielewa kirafiki...
Ngoja niwahi hapo kaunta nikafanye mapenzi na K Vant. Hizi Habari za misiba nisipopata K Vant huwa usiku naona nimegombana na mama, nami nlishaapa sitaki kulaaniwa na mama...