Kwenu Wanaume: Vitu vichache wanavyoangalia Wanawake kabla hajaruhusu umuoe ama kujenga uchumba wa kudumu

Kuhudumia ni muhimu ila ufanye kwa hiari sio kwa mashinikizo. Mwanamke anatakiwa akukirimu mpaka ujiskie kumfanyia mambo mazuri kama shukurani ya kuwa na wewe.
 
[/QUOTE]Kweli kabiss
 
Ndo shida ya kuolewa na James delicious au aunt omari au Kelvin shangingi unategemea nini sasa
Walio wengi kweli hawana akili za kuishi na wanawake, eti mwanaume ananuna eti kamnunia mkewe huyo ana akili kweli? Wapo mpaka kugegeda wanasusa [emoji31] [emoji31] [emoji31]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada umesahau tunao amua kuoa ni sisi na sio nyie na kuna wengi wanafikia kipindi hayo hawaangalii mfano wale wa mlima moto washajitoa muhanga yoyote yule aje awe pimbi au jamaa anajipu kwenye mgongo awe mfupi mwenye chogo na vinyoleo puani halafu ana hips yote sawa wanaona


Ndo maana asie na kazi maskini anaoa kuhusu upendo siku hizi bado arranged marriage zpo mtapendana mbeleni kwa sababu sisi ndo tunanguvu kubwa ktk kuchagua ktk ndoa sio nyie
 
Tunakupenda pia japo haukuendelea tena
 
Ukimaliza ulete uzi mwingine kueleza wanaume wanapenda nini.
 
Inakwepeka sana. Fahamu ya kuwa wakati wewe umejipa majukumu ya baba mzazi kwa mwanamke wako. Kuna kidume kingine kimejipa majukumu ya mtoto kwa mwanamke wako kinapiga buuuure kabisa na kugaiwa za kwako plus mshahara.

Nikifanya vyote hivyo yeye analeta nini kwenye penzi letu mbali na puchi? Usiseme kufua, kupika etc hivyo i can pay for. Yaani namaanisha kwenye mapenzi nikitoa puchi yake what else can she offer? Kama hakuna why bother?
 
Sijasahau

Kama umesoma vizuri nimeandika kwamba wanaume hupata shida wakati wa kuoa/kuchagua wenza.
 
Kwa wanawake, kuwa na vigezo vyooote, kama tako sijui shepu nzuri, nywele ndefu, unajua kuvaa, ila kama kidudu chako sio kitamu majamaa wajanja watakukimbia, All in all lazima puc iwe tamu yan pale ndio mwisho wa matatizo, Ndio mana wanaolewa vyeusi mangala na wanamiflat screen yao, wene matako makubwa tunashinda nao kwene mabar makubwa makubwa tunawachezea matako tunawakimbia ifikapo saa nane tunarud kwa vimbaumbau vyetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.....ANGALIA HARUS NYINGI WANAOOLEWA UTASHANGAA, unajiuliza baharia kakwama wapi, KUMBE UTAMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…